Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Mwamba vip mbona unatembeza dislike kama njugu ๐๐๐Unawatafuna!
Nina ukimwi mkuuMwamba vip mbona unatembeza dislike kama njugu ๐๐๐
Sasa ukimwi na kudislike wapi na wapi ๐๐๐Nina ukimwi mkuu
Magonjwa MtambukaSasa ukimwi na kudislike wapi na wapi ๐๐๐
Hahaha tupe kisa mkuuInaumiza sana ila inanatkiwa utafute pesa ili nawewe uwe na jeur yalinikuta hayo
Demu alinikataa kikatili sana kama sumubya marekan kimyakimya Hadi haibuHahaha tupe kisa mkuu
Alikudhalilisha au ni kistaarabu tu!Demu alinikataa kikatili sana kama sumubya marekan kimyakimya Hadi haibu
Bwana mdogo tafuta hela acha kuwapigia hao mademu kelele.Mkono mtupu haulambwi.Babu zako enzi zao ndo walikuwa wanasoundisha demu na maneno matupu na hapo walikuwa wanapewa nyapu baada ya miaka mitatu ya kujilizaliza๐๐๐Wakuu naombeni mnielezee kama imewahi kukutokea hii kitu yaani unajua kabisa kuwa hapa hachomoi ila ndo hivyo anakuchomolea alafu unakuta huyo huyo demu anamtongoza msela wa kawaida tu imewahi kukuta!!
Mi binafsi sijawahi maana nina ego kubwa ๐คฃm.
Wanawake wengi choka mbaya ni hovyo tu ๐ฎ๐ฎWakuu naombeni mnielezee kama imewahi kukutokea hii kitu yaani unajua kabisa kuwa hapa hachomoi ila ndo hivyo anakuchomolea alafu unakuta huyo huyo demu anamtongoza msela wa kawaida tu imewahi kukuta!!
Mi binafsi sijawahi maana nina ego kubwa ๐คฃm.
Akunidhalilisha ila sas chamoto ni kukaa kimyaa sms hajibu simu hapokeiAlikudhalilisha au ni kistaarabu tu!
Wewe ukaoge mferejini babakee Gundu gani hilo mpaka milupo inakuhanya๐wana tunakataliwa na malaya na tunachukulia poa tu sembuse pisi mbovu? kawaida sana iyo
๐Huna hela๐๐๐๐Mimi mwenzenu hadi malaya ananikataa hivi nina shida gani wakuu.
AhahahaWewe ukaoge mferejini babakee Gundu gani hilo mpaka milupo inakuhanya๐
madogo hawana hela alafu wanajishirikisha na ngono???!!!Sasa hakuna kukataliwa labda utafute ambao sio type yako
Kuna nilimtokea akaniambia wewe ulivyo handsome utanila na kunichamba na kukimbia kama alijuaWakuu naombeni mnielezee kama imewahi kukutokea hii kitu yaani unajua kabisa kuwa hapa hachomoi ila ndo hivyo anakuchomolea alafu unakuta huyo huyo demu anamtongoza msela wa kawaida tu imewahi kukuta!
Mi binafsi sijawahi maana nina ego kubwa ๐คฃ.
Mtoto unamrushia muamala alafu unachill.Mtoto anaifata ndoano mwenyewe๐๐๐.Tafuta hela kwa wivu mkubwa, siku hizi watu hawatongozi
kwani demu wa kawaida na msela wa kawaida ndio wanakuwaje kuna vitu dunia hii sio vya kuwaza sana kakukataa kwakua ww wa kawaida japo kuna kakiburi ka uhai kanakusumbuaWakuu naombeni mnielezee kama imewahi kukutokea hii kitu yaani unajua kabisa kuwa hapa hachomoi ila ndo hivyo anakuchomolea alafu unakuta huyo huyo demu anamtongoza msela wa kawaida tu imewahi kukuta!
Mi binafsi sijawahi maana nina ego kubwa ๐คฃ.