Lior
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 1,617
- 3,697
Amani kwenu wana jukwaa
Direct kwenye mada…
Wewe kama member Umewahi kujiuliza siku ukifariki nani ataishika simu yako?
Wiki hii kuna taarifa zimetokea hapa jukwaani, zimenifanya nitafakari sana kuhusu usalama na usiri wa JamiiForums members. Kuna thread humu baadhi ya watu wali-challenge kwamba imewezekana vipi mtoto wa marehemu akatumia Account ya mzazi wake? Je alikuwa na username? Je alikuwa na password?
Hizi kauli zikanifanya niwaze kama kweli members tuna uelewa wa privacy zetu hapa JamiiForums? Nijuavyo mimi uki-log in kwenye account yako, inabaki kuwa hivyo mpaka wewe mwenyewe uamue ku- log out au ku-clear data. Hii ni kwa yoyote anaetumia App au browser (aki - install ile app ya kwenye browser). Hivyo basi, mtu yoyote anaeweza kuipata simu ya mhusika, anauwezo wa kuitumia account yake unless awe ana log out kila akitoka.
Kutokana na technology kuwa kubwa, nafikiri ni wakati sasa wa uongozi wa JamiiForums (Moderator) ,kufanya mabadiliko kwenye systems zao kuendana na uhitaji. Waweke 'one time password system' ili kutulinda members wao. Hii ni system salama zaidi kwa vile hautalazimika ku-log aut kila mara ili uwe salama, system itafanya hiyo kazi na wewe utakapotaka ku log-in itakutumia password ya kutumia kwa wakati huo.
Hik ni muhimu kwa vile simu na computer tunazotumia kuingia hapa JamiiForums zaweza kuibiwa. Waza kwamba wewe ni baba umefariki, simu ikachukuliwa na binti yako (sio wote wanaweka password ), binti anaingia kwenye PM yako anakuta uliwahi mtongoza maana ID zetu hazijulikani. Au mama amefariki kijana wake anaingi PM anakuta mtu aliekuwa anamtongoza na kumsumbua kila mara ni mama yake. Je mhusika atakuwa kwenye hali gani?
Siku moja kuna bro aliniomba nimsaidie pc yake ime corrupt windows, baada ya repair nikiwa naweka mambo sawa nikakutana na folder imeandikwa JamiiForums, ikanivutia sana nikafungua. Ndani nilikuta sub-folders kama 40 zikiwa na majina ya members ninaowajua hapa Jamii Forums. Kufungua nakuta picha mbali mbali ambazo anazikusanya kwenye uzi wa selfika😅. Kumbe kila mdada akiweka picha, jamaa ana-icopy na kuhifadhi. Kwa kweli sikujua lengo na kwa vile ni boss wangu sikuweza kumuuliza. Ila namfatilia kwa karibu sana maana id yake nimeijua na huwa hapendi ku-comment.
Jamani kuna watu wana ma-file yetu hapa JamiiForums, wanasubiri tujichanganye tu wakiwashe😅. Guys stay safe out there.
Direct kwenye mada…
Wewe kama member Umewahi kujiuliza siku ukifariki nani ataishika simu yako?
Wiki hii kuna taarifa zimetokea hapa jukwaani, zimenifanya nitafakari sana kuhusu usalama na usiri wa JamiiForums members. Kuna thread humu baadhi ya watu wali-challenge kwamba imewezekana vipi mtoto wa marehemu akatumia Account ya mzazi wake? Je alikuwa na username? Je alikuwa na password?
Hizi kauli zikanifanya niwaze kama kweli members tuna uelewa wa privacy zetu hapa JamiiForums? Nijuavyo mimi uki-log in kwenye account yako, inabaki kuwa hivyo mpaka wewe mwenyewe uamue ku- log out au ku-clear data. Hii ni kwa yoyote anaetumia App au browser (aki - install ile app ya kwenye browser). Hivyo basi, mtu yoyote anaeweza kuipata simu ya mhusika, anauwezo wa kuitumia account yake unless awe ana log out kila akitoka.
Kutokana na technology kuwa kubwa, nafikiri ni wakati sasa wa uongozi wa JamiiForums (Moderator) ,kufanya mabadiliko kwenye systems zao kuendana na uhitaji. Waweke 'one time password system' ili kutulinda members wao. Hii ni system salama zaidi kwa vile hautalazimika ku-log aut kila mara ili uwe salama, system itafanya hiyo kazi na wewe utakapotaka ku log-in itakutumia password ya kutumia kwa wakati huo.
Hik ni muhimu kwa vile simu na computer tunazotumia kuingia hapa JamiiForums zaweza kuibiwa. Waza kwamba wewe ni baba umefariki, simu ikachukuliwa na binti yako (sio wote wanaweka password ), binti anaingia kwenye PM yako anakuta uliwahi mtongoza maana ID zetu hazijulikani. Au mama amefariki kijana wake anaingi PM anakuta mtu aliekuwa anamtongoza na kumsumbua kila mara ni mama yake. Je mhusika atakuwa kwenye hali gani?
Siku moja kuna bro aliniomba nimsaidie pc yake ime corrupt windows, baada ya repair nikiwa naweka mambo sawa nikakutana na folder imeandikwa JamiiForums, ikanivutia sana nikafungua. Ndani nilikuta sub-folders kama 40 zikiwa na majina ya members ninaowajua hapa Jamii Forums. Kufungua nakuta picha mbali mbali ambazo anazikusanya kwenye uzi wa selfika😅. Kumbe kila mdada akiweka picha, jamaa ana-icopy na kuhifadhi. Kwa kweli sikujua lengo na kwa vile ni boss wangu sikuweza kumuuliza. Ila namfatilia kwa karibu sana maana id yake nimeijua na huwa hapendi ku-comment.
Jamani kuna watu wana ma-file yetu hapa JamiiForums, wanasubiri tujichanganye tu wakiwashe😅. Guys stay safe out there.