Umewahi kuwaza nani atashika simu yako ukifa?

Umewahi kuwaza nani atashika simu yako ukifa?

Duh mimi huwa si log out natumia web na app sasa kwakuwa umesema inabidi niwe na log out kabisa kuna mtu akijua id yako vizur shida mimi kuna jamaa nilimkuta pale seacrif anatumia jf kajiachia kabisa nika nasa id yake chap

Mda mwingine ata ukiwa matembezi ni vyema kuwa makini
Hakika, inabidi wabadili sucurity.
 
Una tabia mbaya sana!!!!! Unafunguaje files za mtu mwingine bila ruhusa??

Kuhusu passwords, mimi nimeset autosave kwahiyo mtu akiweza kufungua simu yangu tu anaweza ku-access pretty much all of my accounts. ZA bank/mobile money anazijua dogo.

Kwavile sina mambo ya kutisha kwenye simu yangu siku ikifika watafungua tu wafanye wanachotaka.
 
Una tabia mbaya sana!!!!! Unafunguaje files za mtu mwingine bila ruhusa??

Kuhusu passwords, mimi nimeset autosave kwahiyo mtu akiweza kufungua simu yangu tu anaweza ku-access pretty much all of my accounts. ZA bank/mobile money anazijua dogo.

Kwavile sina mambo ya kutisha kwenye simu yangu siku ikifika watafungua tu wafanye wanachotaka.
Safi sana ila umeongea kwa hasira sana
 
Una tabia mbaya sana!!!!! Unafunguaje files za mtu mwingine bila ruhusa??

Kuhusu passwords, mimi nimeset autosave kwahiyo mtu akiweza kufungua simu yangu tu anaweza ku-access pretty much all of my accounts. ZA bank/mobile money anazijua dogo.

Kwavile sina mambo ya kutisha kwenye simu yangu siku ikifika watafungua tu wafanye wanachotaka.
Alinipa ruhusa nipunguze baadhi ya files zenye videos. So nikawa nafungua kila file kujua kama kuna videos ndani.
 
Hapana Kwa kweli
Nina Assume unatumia Browser: Tatizo ni wewe mkuu, na sio kwamba JF ndio inahifadhi Password zako. Wewe uneruhusu Chrome yako ihifadhi Login Info zako ndio maana zinabaki pale.

Kuondoa hilo nenda kaDissable hiyo option, lakini pia huna haja ya kuUnstall, nenda kwenye Setting kisha Clear Caches and Cookie. Info zako zote hadi searching history zitaondoka.
Kama utaona hiyo ni ngumu kwako pia tumia Search Engine ya Duckduckgo for your browsing privacy
 
Nina Assume unatumia Browser: Tatizo ni wewe mkuu, na sio kwamba JF ndio inahifadhi Password zako. Wewe uneruhusu Chrome yako ihifadhi Login Info zako ndio maana zinabaki pale.

Kuondoa hilo nenda kaDissable hiyo option, lakini pia huna haja ya kuUnstall, nenda kwenye Setting kisha Clear Caches and Cookie. Info zako zote hadi searching history zitaondoka.
Kama utaona hiyo ni ngumu kwako pia tumia Search Engine ya Duckduckgo for your browsing privacy
Vipi kwa App????
 
Nina Assume unatumia Browser: Tatizo ni wewe mkuu, na sio kwamba JF ndio inahifadhi Password zako. Wewe uneruhusu Chrome yako ihifadhi Login Info zako ndio maana zinabaki pale.

Kuondoa hilo nenda kaDissable hiyo option, lakini pia huna haja ya kuUnstall, nenda kwenye Setting kisha Clear Caches and Cookie. Info zako zote hadi searching history zitaondoka.
Kama utaona hiyo ni ngumu kwako pia tumia Search Engine ya Duckduckgo for your browsing privacy
Natumia app sio hzo broswer pia Huwa Kuna option unaruhusu na mimi sijai allow kwenye application
 
Natumia app sio hzo broswer pia Huwa Kuna option unaruhusu na mimi sijai allow kwenye application
Mimi binafsi nakuelewa kwa kuwa natumia app pia. Watu wengine huwa wanapenda kulazimisha wanachojua wao ndio uwe ukweli. Umeshasema app ila mtu anakomalia iwe browser [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Amani kwenu wana jukwaa
Direct kwenye mada…

Wewe kama member Umewahi kujiuliza siku ukifariki nani ataishika simu yako?

Wiki hii kuna taarifa zimetokea hapa jukwaani, zimenifanya nitafakari sana kuhusu usalama na usiri wa JamiiForums members. Kuna thread humu baadhi ya watu wali-challenge kwamba imewezekana vipi mtoto wa marehemu akatumia Account ya mzazi wake? Je alikuwa na username? Je alikuwa na password?

Hizi kauli zikanifanya niwaze kama kweli members tuna uelewa wa privacy zetu hapa JamiiForums? Nijuavyo mimi uki-log in kwenye account yako, inabaki kuwa hivyo mpaka wewe mwenyewe uamue ku- log out au ku-clear data. Hii ni kwa yoyote anaetumia App au browser (aki - install ile app ya kwenye browser). Hivyo basi, mtu yoyote anaeweza kuipata simu ya mhusika, anauwezo wa kuitumia account yake unless awe ana log out kila akitoka.

Kutokana na technology kuwa kubwa, nafikiri ni wakati sasa wa uongozi wa JamiiForums (Moderator) ,kufanya mabadiliko kwenye systems zao kuendana na uhitaji. Waweke 'one time password system' ili kutulinda members wao. Hii ni system salama zaidi kwa vile hautalazimika ku-log aut kila mara ili uwe salama, system itafanya hiyo kazi na wewe utakapotaka ku log-in itakutumia password ya kutumia kwa wakati huo.

Hik ni muhimu kwa vile simu na computer tunazotumia kuingia hapa JamiiForums zaweza kuibiwa. Waza kwamba wewe ni baba umefariki, simu ikachukuliwa na binti yako (sio wote wanaweka password ), binti anaingia kwenye PM yako anakuta uliwahi mtongoza maana ID zetu hazijulikani. Au mama amefariki kijana wake anaingi PM anakuta mtu aliekuwa anamtongoza na kumsumbua kila mara ni mama yake. Je mhusika atakuwa kwenye hali gani?

Siku moja kuna bro aliniomba nimsaidie pc yake ime corrupt windows, baada ya repair nikiwa naweka mambo sawa nikakutana na folder imeandikwa JamiiForums, ikanivutia sana nikafungua. Ndani nilikuta sub-folders kama 40 zikiwa na majina ya members ninaowajua hapa Jamii Forums. Kufungua nakuta picha mbali mbali ambazo anazikusanya kwenye uzi wa selfika😅. Kumbe kila mdada akiweka picha, jamaa ana-icopy na kuhifadhi. Kwa kweli sikujua lengo na kwa vile ni boss wangu sikuweza kumuuliza. Ila namfatilia kwa karibu sana maana id yake nimeijua na huwa hapendi ku-comment.

Jamani kuna watu wana ma-file yetu hapa JamiiForums, wanasubiri tujichanganye tu wakiwashe😅. Guys stay safe out there.
Duuh hatari!
 
Back
Top Bottom