Umewahi kuwaza nani atashika simu yako ukifa?

Umewahi kuwaza nani atashika simu yako ukifa?

Duh! Kweli aisee ngoja nisafishe simu yangu sasa hivi. Sifi leo lakini mjue.
Kwani wa kufa sasa hivi hujitambua?

Mimi nimeuguza wagonjwa wengi "wa kufa", mpaka sasa utafiti na uzoefu wangu nimegundua, kujua kwamba unakaribia kufa sasa hivi, ni baraka na kudra ya Mungu ambayo huipata wachache.

Vifo vingi huja kwa hadaa ya kupona, kama ni mzima unataka kufa, kupata vishawishi vya kuingia eneo hatarishi unaloenda kupatia kifo chako nk nk.

Muda wa kufa ukifika, moyo hujazwa furaha, huruma na busara za bandia ambazo kabla mtu hawi nazo.

Hadaa hizo huendelea kupumbaza roho kama liwazo na wakati wa kukata kabisa roho, huja raha kubwa sana kuweza mtu "kujaculate" na ushahidi upo watu kukutwa wamemwaga manii wanapokufa.

Je wewe mwenzetu una mkataba gani na Mungu wa kuweza kuelewa haufi sasa hivi, waweza kutupa uzoefu wako japo kidogo?
 
Kwani wa kufa sasa hivi hujitambua?

Mimi nimeuguza wagonjwa wengi "wa kufa", mpaka sasa utafiti na uzoefu wangu nimegundua, kujua kwamba unakaribia kufa sasa hivi, ni baraka na kudra ya Mungu ambayo huipata wachache.

Vifo vingi huja kwa hadaa ya kupona, kama ni mzima unataka kufa, kupata vishawishi vya kuingia eneo hatarishi unaloenda kupatia kifo chako nk nk.

Muda wa kufa ukifika, moyo hujazwa furaha, huruma na busara za bandia ambazo kabla mtu hawi nazo.

Hadaa hizo huendelea kupumbaza roho kama liwazo na wakati wa kukata kabisa roho, huja raha kubwa sana kuweza mtu "kujaculate" na ushahidi upo watu kukutwa wamemwaga manii wanapokufa.

Je wewe mwenzetu una mkataba gani na Mungu wa kuweza kuelewa haufi sasa hivi, waweza kutupa uzoefu wako japo kidogo?
Hakika umesema jambo la maana sana👍
 
Mimi simu yangu sijawahi kuweka password..naswipe tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huwa naona kero kubaki naingiza kila muda
Basi nakushauri weka kopo la panado karibu na simu kila mara. 😂
 
Kwani wa kufa sasa hivi hujitambua?

Mimi nimeuguza wagonjwa wengi "wa kufa", mpaka sasa utafiti na uzoefu wangu nimegundua, kujua kwamba unakaribia kufa sasa hivi, ni baraka na kudra ya Mungu ambayo huipata wachache.

Vifo vingi huja kwa hadaa ya kupona, kama ni mzima unataka kufa, kupata vishawishi vya kuingia eneo hatarishi unaloenda kupatia kifo chako nk nk.

Muda wa kufa ukifika, moyo hujazwa furaha, huruma na busara za bandia ambazo kabla mtu hawi nazo.

Hadaa hizo huendelea kupumbaza roho kama liwazo na wakati wa kukata kabisa roho, huja raha kubwa sana kuweza mtu "kujaculate" na ushahidi upo watu kukutwa wamemwaga manii wanapokufa.

Je wewe mwenzetu una mkataba gani na Mungu wa kuweza kuelewa haufi sasa hivi, waweza kutupa uzoefu wako japo kidogo?
Hujui kuwa kufa ni chaguo? Wote tutakufa mwishoni lakini bado mtu unaweza kuamua kufa kesho au kesho kutwa.
 
Hujui kuwa kufa ni chaguo? Wote tutakufa mwishoni lakini bado mtu unaweza kuamua kufa kesho au kesho kutwa.
Hilo sikupingi, uhai ni dhamana impasayo mwenye nayo kuilinda au kuisaliti kwa kuiondoa.

Mantiki yangu ilijikita kwenye vifo visivyo vya hiyari.
 
Zamani JF ilikuwa uki log out haiachi jina, sikuhizi hata uki log out mtu akija anaingia na kuona I'd yako, nikitoka ku log out Huwa mpaka ni uninstall application kabisa
Miaka imebadilika labda uwe unatumia private browsing.
Kuhifadhi data za utafutaji na uingizaji (inputs) kama vile fomu na maelezo mengine kwenye kivinjari cha mtandao (browser) kuna lengo la kuboresha uzoefu wa mtumiaji. Hii inamwezesha mtumiaji kujaza fomu kwa urahisi na haraka bila kuandika upya kila wakati. Pia, kuhifadhi data hii inaweza kusaidia kupunguza kasi ya matumizi ya data, kwa sababu kivinjari cha mtandao kinaweza kutumia data iliyohifadhiwa badala ya kupakua tena kutoka kwa tovuti.
 
Una aamka asubuhi halafu jambo la kwanza unawaza ni kufa. Haya ndio maradhi ya kiakili tuyayoyasema kila siku. Vijana wanatembea ila ni wafu wanaosubiria kuzikwa.
 
Miaka imebadilika labda uwe unatumia private browsing.
Kuhifadhi data za utafutaji na uingizaji (inputs) kama vile fomu na maelezo mengine kwenye kivinjari cha mtandao (browser) kuna lengo la kuboresha uzoefu wa mtumiaji. Hii inamwezesha mtumiaji kujaza fomu kwa urahisi na haraka bila kuandika upya kila wakati. Pia, kuhifadhi data hii inaweza kusaidia kupunguza kasi ya matumizi ya data, kwa sababu kivinjari cha mtandao kinaweza kutumia data iliyohifadhiwa badala ya kupakua tena kutoka kwa tovuti.
ChatGPT

unaamini kifo kipo
 
Una aamka asubuhi halafu jambo la kwanza unawaza ni kufa. Haya ndio maradhi ya kiakili tuyayoyasema kila siku. Vijana wanatembea ila ni wafu wanaosubiria kuzikwa.
Ishi milele mkuu sio lazima uwaze kifo
 
Back
Top Bottom