Umewahi muona paka wa aina hii? Anaitwaje kwa Kiswahili?

Point iko hapa
Huyo paka ukimwangalia tu unajua ni hybrid
 
Daaah,so good....mi nataka niache kula nyama nashindwa.... Naumia wanyama wanapochinjwa
 
Daaah,so good....mi nataka niache kula nyama nashindwa.... Naumia wanyama wanapochinjwa
Anza pole pole, mimi nimeanza na nyama ya ng'ombe na mbuzi, kuku bado na ninavyopenda nyama ya kuku sasa [emoji39].... unaanza pole pole kwenye mlo wako unakua na mboga mboga nyingi kuliko nyama, hadi utazoea
 

Jina Paka Shume ni hadi afanye uasi Yaani aanze ujeuri wa kutoishi nyumbani na kutotii, hana makazi maalum kwa mbwa tunasema Mbwa koko ila paka ni Paka shume. Paka shume anaweza kuwa wa aina yoyote.
 
Puma (duma)sio paka huyo anakutafuna mchana kweupe ukikutana nae anga zake.
Alafu kidwahili ndio nini?
Elimu, elimu , elimu
Naomba nikusahihishe, Puma hapatikani Afrika, anapatikana marekani kaskazini na kusini kwa majina ya cougar na mountain lion pia.
Caracal huyo, bingwa wa kuruka juu! Sio serval, lakini ni jamii hiyo hiyo ya paka mwitu pia.
 
Hata simjui jina ila hapa nyumbani kuna paka nahisi sio wa kawaida iwaje ikifika usiku anatoka nyumbani anakuja kwenye biashara yangu ni kama kanatumwa kufanya upelelezi yaana africa kuna matatizo sana.
 
Hata simjui jina ila hapa nyumbani kuna paka nahisi sio wa kawaida iwaje ikifika usiku anatoka nyumbani anakuja kwenye biashara yangu ni kama kanatumwa kufanya upelelezi yaana africa kuna matatizo sana.
We ndiyo mwenye matatizo.
 
Ni kweli kuna siku paka wangu alishaleta nyoka mzima hapa home [emoji23][emoji23] sasa sisi kuona ivo tukatoka nduki. Nae kuona tumetoka nduki nae akatoka nduki na kumuacha nyoka ndani[emoji51][emoji38] sasa sijui alikua anakimbia nn
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…