Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Ooh dear nakupenda pia [emoji847].... ni kweli napenda sana Wanyama, nimeweka chombo cha maji nje kwa ajili ya ndege wote kunywa maji, paka usiku najua wanaranda randa hunywa maji pia, najisikia faraja nikiona ndege hadi kunguru wakinywa maji niliyowawekea.Nakupenda,,,,hongera Kwa kupenda wanyama
Point iko hapaHao wanafanana na huyo Serval Cat wanaitwa Savanah Cats, ni breed ya Serval cat na domestic cat walipandikizwa karne ya 20 huko akatokea Savanah Cat, huyu Savanah anafugika ni mpole na mwenye akili,
Ukiona kazaliwa nyumbani ujue anafugika sio wale wa porini.
Wikipedia.
Daaah,so good....mi nataka niache kula nyama nashindwa.... Naumia wanyama wanapochinjwaOoh dear nakupenda pia [emoji847].... ni kweli napenda sana Wanyama, nimeweka chombo cha maji nje kwa ajili ya ndege wote kunywa maji, paka usiku najua wanaranda randa hunywa maji pia, najisikia faraja nikiona ndege hadi kunguru wakinywa maji niliyowawekea.
Hakuna wanyama wakatili kama jamii ya chui...🥴🥴🤣🤣🤣 we pita tu na hakakua kadogo ni puma mwenyewe kabisa
Puma na Duma ni wanyama tofauti lakini wote ni paka. Mjinga anayejiamini ni mtu hatari sana.Chai ni kitu gani?
Hao wote jamii moja na sio paka hivi mbumbumbu nyie nani hata aliwaonyesha JF
Anza pole pole, mimi nimeanza na nyama ya ng'ombe na mbuzi, kuku bado na ninavyopenda nyama ya kuku sasa [emoji39].... unaanza pole pole kwenye mlo wako unakua na mboga mboga nyingi kuliko nyama, hadi utazoeaDaaah,so good....mi nataka niache kula nyama nashindwa.... Naumia wanyama wanapochinjwa
Kwani paka sio mnyama?, hujui kwamba Simba, Chui, Duma, Tiger, n.k wote ni jamii ya paka?.Jamii ni hiyo sio paka huyo ni mnyama aisee kaa nae mbali na usiweke karibu na watoto.
Asante sanaAnza pole pole, mimi nimeanza na nyama ya ng'ombe na mbuzi, kuku bado na ninavyopenda nyama ya kuku sasa [emoji39].... unaanza pole pole kwenye mlo wako unakua na mboga mboga nyingi kuliko nyama, hadi utazoea
Jangu lubhaka.
Ni paka wa kawaida tu sema baadhi ya jamii hasa kwetu Ujitani akizaliwa paka wa namna hii anafanyiwa figisu sana, yaani anakuwa na maisha ya mwituni huku nduguze wakinywa maziwa na asali hali inayopelekea kuwa adui mkubwa wa kuku, binadamu.
Nadhani kwa Kiswahili huyu ndo PAKA SHUME.
Huyu paka aina ya MondoHuyu paka anapatikana sana Africa, ikiwemo Tanzania. Kwa kiingereza anaitwa serval cat. Umewahi muona? Anaitwaje kwa kiswahili?
View attachment 2568245View attachment 2568246
Naomba nikusahihishe, Puma hapatikani Afrika, anapatikana marekani kaskazini na kusini kwa majina ya cougar na mountain lion pia.Puma (duma)sio paka huyo anakutafuna mchana kweupe ukikutana nae anga zake.
Alafu kidwahili ndio nini?
Elimu, elimu , elimu
Caracal huyo, bingwa wa kuruka juu! Sio serval, lakini ni jamii hiyo hiyo ya paka mwitu pia.
Huyu ni paka wa poriniHuyu paka anapatikana sana Africa, ikiwemo Tanzania. Kwa kiingereza anaitwa serval cat. Umewahi muona? Anaitwaje kwa kiswahili?
View attachment 2568245View attachment 2568246
We ndiyo mwenye matatizo.Hata simjui jina ila hapa nyumbani kuna paka nahisi sio wa kawaida iwaje ikifika usiku anatoka nyumbani anakuja kwenye biashara yangu ni kama kanatumwa kufanya upelelezi yaana africa kuna matatizo sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kweli kuna siku paka wangu alishaleta nyoka mzima hapa home [emoji23][emoji23] sasa sisi kuona ivo tukatoka nduki. Nae kuona tumetoka nduki nae akatoka nduki na kumuacha nyoka ndani[emoji51][emoji38] sasa sijui alikua anakimbia nn