Umewahi safiri umbali gani kufuata penzi?

Mi mwisho mwanga nilifuata sex nikamchezea kijana wawatu nahela nilichukua hakuniona tena baada ya hapo hata iweje sipokei simu akibadili na dawa nitakupigia
Haaaa, kumbe ndio wewe uliyenizingua haoa Mwanga?

Walahi nakutoa shipa,sio kwa usumbufu ulionipa
 
Mh... pole
 
[emoji1][emoji1][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Aisee long time fucken sana nili safiri Tunduma mpaka Ruvuma..[emoji28]
 
Kutoka Geita mpaka Kabindi mkoa wa Kagera nilifika jioni nikazimiwa simu mpaka asubuhi nilarudi bila kura mbususu
 
Nilisafiri kutoka Ruvuma hadi Uganda, Jinja kwa wasoga kufuata Mbususu. Manzi alikuwa na tumbo kubwa kama gunia la karanga[emoji58]
 
Kwahyo kumbe kwenye basi unaeza kaa na mtu mnasafiri kumbe yeye anaenda fata mbususu au libobo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…