Yajayo_yanafurahisha
Senior Member
- Jul 29, 2020
- 156
- 401
Hahahah ila life bhana
Niliwahi kupigwa changa na wajanja wakaniacha kwenye waiting lounge ya pantoni pale kigamboni
Sina chochote mfukoni
Nikachapa moyo konde kigamboni hadi hadi vijibweni(nikaomba msaada wa viboti) wakanisaidia kwa masimango sana nikaibukia kurasini..nikachapa mwendo reli kwa reli kurasini,kwa aziz,mtongani nikaungia kilwa road hadi kizuiani pale nikakutana na uncle mudy akanisaidia nauli aisee
Ila nimechapa sana mwendo azania mbagala miaka hiyo
Niliwahi kupigwa changa na wajanja wakaniacha kwenye waiting lounge ya pantoni pale kigamboni
Sina chochote mfukoni
Nikachapa moyo konde kigamboni hadi hadi vijibweni(nikaomba msaada wa viboti) wakanisaidia kwa masimango sana nikaibukia kurasini..nikachapa mwendo reli kwa reli kurasini,kwa aziz,mtongani nikaungia kilwa road hadi kizuiani pale nikakutana na uncle mudy akanisaidia nauli aisee
Ila nimechapa sana mwendo azania mbagala miaka hiyo