Mbagara rangi tatu mpaka keko
Siku iyo nilienda kumsalimia bamdogo kibulugwa sasa jioni nikagewa elfu moja yanauli nanakumbuka nauli ilikuwa 100 kwawanafu hivyo nikapiga esabu mia nane ii natamba shule nanilikuwa primary' saa ile nafika zakhiem si ndo nikawakuta wale jamaa wanaozungusha mkanda alafu kati kunakuwa namatundu mawili wanakupa peni ubaatishe
basi si ndio nikasogea ili nione inakuwaje watu wanakosa wakati jamaa anazungusha tu mkanda taratibu' aaaaaaaa asalaleeeee ile nasogea tu nikashangaa watu walikuwa wengiiiii mpaka sioni ila ghafla nikakuta nimeachiwa njia naile nimelisogelea boksi tu nikajikuta nipo kat kat uku nimezungukwa nawatu pande zote alafu mchezeshaji anavyochezesha amenilenga mm direct
heeee nikaambiwa dogo kujaribu bule naukiweka elfu tatu unapata elfu sita kabla sijaongea chochote nikashikishwa peni nijaribu bule nisitoe ela' ile najalibu nikapata nanikaskia watu wanashangilia eeeeee kapata nawadada walikuwepo wanasema we mkaka mpe dogo elfu sita yake, wale wengine wakasema uyu dogo fala kaambiwa aweke ela hajaweka angekuwa na elfu sita mda uu' sasa ikatokea njemba moja ina kipala kinang'aa atari cjui kapaka namafuta yavitumbua
akaniuliza kwani we dogo mfukoni una bei gani? nikamjibu nina elfu moja nakumbuka iyo ela ndo yanauli ujue' daaaah bas ile njemba ikanambia saa siuweke ilo buku uchukue elfu mbili, bas chap nikasema shuleni kesho watanikoma vishet vya shilingi tano tano nakula namasela vyakubuku mbili' nikashikishwa peni jamaa kazungusha mkanda mimi jicho limenitoka kwenye mkanda kama nimedondosha nati ya simu nipo makini sio powa nikachomeka daaaah