Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mashemeji ndio maana tunawafix tuMashemeji ni watu wa hovyo sana, mpaka leo nakumbuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashemeji ndio maana tunawafix tuMashemeji ni watu wa hovyo sana, mpaka leo nakumbuka.
Sio kama mavijana ya naw days yamezaliwa daslam, lakini hata hawawezi tembea toka ukonga hadi banana...🤣Baharia ulikuwa unafata kisamaki kwa Ng'ondi kudadadeki
Anachukua boda bodaSio kama mavijana ya naw days yamezaliwa daslam, lakini hata hawawezi tembea toka ukonga hadi banana...🤣
Hahahah ulikomaVingunguti hadi ubungo Mataa..
Nilipoteza wallet
Noma sana mkuu, lakini nilijifunza toka ile siku, na baada ya hapo kila napokutana na mtu ana chanagamoto ya nauli huwa siachi kusaidiaHahahah ulikoma
Enzi izo ukitumwa unabania nauli nishatembea sana hii.Ilala boma to Mnazi mmoja
hamna maajabu yoyote...kwan vp..!!!?Kwani kufika dar ni maajabu?? Au dar kuna maajabu gani??
Unaeza ona mtu service raod ukajua anaingia mtaa wa pili hapo kumbe bado ka masaa matatu hivi ndio afikeK
Kumbe wale jamaa wanaotembea service road wengi hawanaga nauli [emoji1787]
Mkuu mbona mlitembea usiku sasa sio poa hiyo.Magomeni mpaka Mbagala Kuu... alaf ilikua usiku wa saa sita kuelekea saa saba. tuko wawili tu mji mzima kimya, mdogo mdogo mpaka tukafika.
Uyo rafiki angu alikua amefiwa na baba ake na hapo jirani alimpigia simu so ikabidi tutoke kwenda kuufuata mwili na kuupeleka hospital. Mshua wake alikua anaishi mwenyewe tu huko.Mkuu mbona mlitembea usiku sasa sio poa hiyo.
Duuh aisee binaadam tunapitia mengi sana Mungu amlaze mahali pepa Mzee.Uyo rafiki angu alikua amefiwa na baba ake na hapo jirani alimpigia simu so ikabidi tutoke kwenda kuufuata mwili na kuupeleka hospital. Mshua wake alikua anaishi mwenyewe tu huko.
Ma dripu ya wota[emoji23]Niliumwa kabisa [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yale mabomu ya G/mboto[emoji23]
Kutoka g/mboto rada chuo hadi ubungo but sielewi nilifikaje na sitaki kukumbuka hii kitu.
Hii route kwa njia ya malamba mawili, sio mbali hata.Mbezi mwisho to kinyerezi kwa smart sikuwepo mwenyewe.
Yaani sielewi hadi leo,yaani ile kitu acha[emoji3],,,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]