yellow java
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 1,228
- 2,234
Toka posta mpaka gongo la mboto...
Mwaka 2019
Mwaka 2019
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sinza Mori hadi Sinza MapambanoNakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.
Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.
Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.
Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
Dah ilikuwa night nimetoka kwenye harusi halafu iyo Chocho kweli siijuiIla wewe jamaa kweli ulikuwa ujui chocho si ungeibukia tandale unapita bondeni la shule msingi tandale magharibi unaibukia mwebe chai mikumi kwa shehe yahya hii hapa
Kweli bora ulipita main road maana wahuni wangetia roba ya mbaoDah ilikuwa night nimetoka kwenye harusi halafu iyo Chocho kweli siijui
Humu sijaona ruti ndefu ya mtu hata moja, mimi nilikuwa natoka kibamba mpaka kibada na ni kila siku, nilikuwa natembea bila kujua kuwa ni mbali mpaka pale nilipozoea jiji zima nazunguka kwa miguu tu, sikuwahi kupanda daladala mpaka narudi kijijini kwetu Magera, Morogoro.
Hii nishatembeaga sana,ya kawaida hiyo,Ilala boma to Mnazi mmoja
Mbezi mwisho to kinyerezi kwa smart sikuwepo mwenyewe.Ubungo - Posta
Ubungo - Tandika
Sinza - Tandika
Mbezi mwisho - Kinyelezi
Kwani kufika dar ni maajabu?? Au dar kuna maajabu gani??Leo kivumbi...., kila mtu kafika dar..., hata mimi nilitembea toka k/koo hadi g/mboto
Tena haina sukari[emoji23],Chai