Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miguu ilivimba?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JKT pale Jitegemee mpaka kwa Aziz Ally.
Sasa ungetembeaje Dar hadi Moro kwa mguu jombaa wakati kuna kipindi flani ubena Zomozi kulikuwaga na wanyama kabisa Chui unawaona Road kabisa. 🤣🤣🤣Tupe kidogo Mikasa ya huko barabarani mkuu mkutembea kwa miguu toka Moro - Dar simchezo,,,
maana hii hali iliwahi kukaribia kunitokea siku moja, bado kidogo sana nitembee kwa miguu kutoka msavu hadi ubungo!
Bahati njema alitokea msamaria mmoja nisiye mjua akanisaidia nauli 5000 wakati huo nauli ya Moro - Dar ni 2500 , nilikaa stand ya msavu toka asubhi mpaka jioni bila bila,,, msamaria huyo alinipa nauli imeshakuwa jioni sana karibu saa moja na dakika zake usiku!
Nikapanda coaster ya mwisho kabisa kuja ubungo! Tukafika Ubungo mida ya saa tano usiku! Kisha nikachukua daladala hadi k/koo then nikachukua lingine la kuja home Kurasini, nilifika home saa saba usiku!
Sitasahau! Yule msamaria Mungu ambariki sana kokote aliko!
Hapo sio mbali sana mrembo.JKT pale Jitegemee mpaka kwa Aziz Ally.
Hahahahah kwa hili jua la milenia ukiweza tembea kilometre moja tu hapa Dar wewe ni mwambaEnzi za kwenda kuogelea Coco Beach unatoka Magomeni unapitia rafiki Kinondoni mnatembea mpaka Coco Beach, mnaogelea kisha mnasogea kwa kutembea mpaka Dar Yatch kushangaa Boti, Slip Way mkifika Msasani Fish Market hapo ni kutembea kando ya Bahari ufukweni mnapita kwa Nyerere nyuma ya nyumba, Dar Independent School, Mbalamwezi Beach, Kwa Mzee Bomani, Mzee George Kahama, Escape One Beach Mpaka Kawe Beach hiyo jioni mpo hoi.
mnarudi kwa njia za chochoro Mikocheni B, Wastaafu street, Warioba mnapita barabara ya Lucy Lameck nyuma nyuma mpaka mitaa ya Kairuki kuitafuta Morroco na Kinondoni unafika Magomeni hoi nguo zina mchanga kichwani mchanga.
Saizi kuipita route hizo kasheshe
Baharia ulikuwa unafata kisamaki kwa Ng'ondi kudadadekiG/Mboto from Mzambarauni via Jet via Buguruni via Tabata Relini, nikatokea Ubungo, nikanyooka hadi Shekilango hadi Sinza Vatcan..... hii ilikua 1994, na mwisho wa daladala toka K/Koo, Posta nk ilikua ni pale G/Mboto Mzambarauni kabla ya Scolla House haijajengwa kmmk walahi...
Kumbe wale jamaa wanaotembea service road wengi hawanaga nauli 🤣😂😂😂
Asee niliwahi kutembea kutoka Ubungo External hadi Kimara Bonyokwa jua kalii.
Una kitu utafika mbaliCoco Beach to mabibo
Mabibo hostel to kariakoo
Hizii route nimepiga Sanaa mdg mdg ty huwa na mentality ambayo nimeizoea kutoka mkoa kwmb sina ulazima wa kupanda daladal wakat na uwezo wa kutembea [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah yani kuna watu ni wamba.Kibamba (Morogoro road) - Taifa (Nelson Mandela road)
Nilienda kucheki game
Buguruni-Banana-Kipunguni. Hiyo 2011 nikiwa nasaka ajira sina nauli
Kutoka Coco beach hadi kurasini, hiyo siku ilikuwa Boxing day ya Christmass nikiwa na wanangu wa damu tulipiga "pedeli" kutoka Coco beach hadi mitaa ya kurasini baada ya kukosa usafiri ilibidi tufanye maamuzi magumu.Nakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.
Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.
Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.
Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
Usichukulie poa hiyo pace ya marathon runners, years of training42km kwa mkimbiaji nzuri na kimashindano ni masaa 2+
Weweeee 59km kwa masaa 10 ilikuwa n milima gani hiyooo ulipanda mkuu
Niliumwa kabisa 🤣🤣Miguu ilivimba?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kudeka tu[emoji23]
Kwani vijijini watu wanatembeaje? Mfano ukiwa Vuma lodge IPO ndani ya mbuga ya mikumi, kutoka restaurant mpaka kota za wafanyakazi kuna distance halafu usiku Giza na generator inazimwa SAA 4 usiku.Sasa ungetembeaje Dar hadi Moro kwa mguu jombaa wakati kuna kipindi flani ubena Zomozi kulikuwaga na wanyama kabisa Chui unawaona Road kabisa. 🤣🤣🤣
Hahahhahaha mlikuwa mnakaza mno mafuvu🤣Kwani vijijini watu wanatembeaje? Mfano ukiwa Vuma lodge IPO ndani ya mbuga ya mikumi, kutoka restaurant mpaka kota za wafanyakazi kuna distance halafu usiku Giza na generator inazimwa SAA 4 usiku.
Pia nakumbuka kitambo Nilikuwa na jamaa yangu ni marehemu sasa hivi tulichelewa usafiri tulitembea kwa mguu kutoka Bagamoyo mpaka Bunju, na kipindi hicho Mapinga kuna Simba.
Bunju tulifika usiku mkubwa tukakaa stand mpaka alfajiri Daladala za kwanza za kariakoo ndio tukapata usafiri.
Mungu ni mkubwa sana.
Yaani wewe ndio umemaliza katika wote,ujue kutembea umbali flani kuna sababu tofauti na inategemea na hali ya kiuchumi kwa wakati husika mfano huyu mtu aliyeuliza je sisi machinga tunaruhusiwa kuchangia? Kiukweli hawa jamaa wanatembea sana na kwa ukaazi wangu nishawashuhudia wamachinga ambao wanauza bidhaa maeneo ya mbali sana mfano kuna mmoja alikuwa namkuta sana maeneo ya tmk sasa siku hyo nikamkuta maeneo ya Bonyokwa tena kabeba yale majiko ya mkaa yale yenye udongo ndani,ebu fikiria lilivyo zito tena na pima tmk to bonyokwa na hapo anapita kuelekea kimara!Na sisi machinga tunaruhusiwa kuchangia
Hahahah dogo ulienda bila taarifa nini🤣
Dah kweli hizo 1990's simu alikuwa nayo Nyerere tu 🤣I have 50's sasa imagine nikiwa na miaka 22 kulikjwa na simu?
Dah kweli hizo 1990's simu alikuwa nayo Nyerere tu 🤣