Umewahi tembea umbali gani mrefu kwa miguu ndani ya jiji la Dar es Salaam?

Umewahi tembea umbali gani mrefu kwa miguu ndani ya jiji la Dar es Salaam?

Yan me nikiwa kwenye Abood pale Magufuli stand mpaka Shekilango naomba mbali kinomaa, sijui siku ya kutembea itakuwaje????

Kuna siku tena kutoka K/koo mpaka Shekilango kwa boda boda niliona mbali sanaa...
 
Nakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.

Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.

Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.

Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
Kimara to Ubungo Shekilango
 
G/Mboto from Mzambarauni via Jet via Buguruni via Tabata Relini, nikatokea Ubungo, nikanyooka hadi Shekilango hadi Sinza Vatcan..... hii ilikua 1994, na mwisho wa daladala toka K/Koo, Posta nk ilikua ni pale G/Mboto Mzambarauni kabla ya Scolla House haijajengwa kmmk walahi...
Nmb pale [emoji2]
 
Nakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.

Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.

Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.

Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
Sikumbuki ila nilitembea kutoka masasani mpak temeke kwa mguu baada ya kumaliza hela yote kwenye bar fulani kuja kustuka. Nauli sina


Kutoka morroco mpaka manzese hapa simu ilizima chaji na sikuweza kutoa helaa mpaka nilipo fika mazense


Kutoka muhimbili mpaka studio nilikuwa na stress baada ya kufukuzwa kazi
 
Kkoo mpaka Tabata relini pitia bugurunii[emoji28][emoji28][emoji28]siku hiyo mvua ilinyeshaa gari hazisogeii.

Jeshini toka Mgambo jkt mpaka Kabuku pale stand aiseee acha tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]miguu illiuma na kuvimbaa kisenzi kujikuta wajeda.
 
Back
Top Bottom