Alkam Alkam
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 603
- 512
Kutoka sinza mpaka kitunda matembele ya pili kwenda na kurudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimara to Ubungo ShekilangoNakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.
Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.
Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.
Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
Nmb pale [emoji2]G/Mboto from Mzambarauni via Jet via Buguruni via Tabata Relini, nikatokea Ubungo, nikanyooka hadi Shekilango hadi Sinza Vatcan..... hii ilikua 1994, na mwisho wa daladala toka K/Koo, Posta nk ilikua ni pale G/Mboto Mzambarauni kabla ya Scolla House haijajengwa kmmk walahi...
Kinyerezi to posta mpya.
Ni ruti endelevu hii ...
Pamoja sana Mzee baba.Mkiu ndio kwetu kabisa pale, shule ya msingi nimesoma Mkiu. Utotoni ruti za Mkiu - Lugarawa kwa mguu tushapiga sana kwenda kuchukua maembe ya kuuza.
Asante mkuu, miaka hiyo nilikua sijarudi kijijini huku Ibologelo...🙂Nmb pale [emoji2]
Sikumbuki ila nilitembea kutoka masasani mpak temeke kwa mguu baada ya kumaliza hela yote kwenye bar fulani kuja kustuka. Nauli sinaNakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.
Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.
Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.
Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
[emoji23][emoji23] daaah mkuu ulitembea aiseee.Asante mkuu, miaka hiyo nilikua sijarudi kijijini huku Ibologelo...[emoji846]
Ila wewe jamaa kweli ulikuwa ujui chocho si ungeibukia tandale unapita bondeni la shule msingi tandale magharibi unaibukia mwebe chai mikumi kwa shehe yahya hii hapaSinza kwa remmy Hadi magomeni mikumi via shekilango road ,via morogoro road