Umewahi tembea umbali gani mrefu kwa miguu ndani ya jiji la Dar es Salaam?

Umewahi tembea umbali gani mrefu kwa miguu ndani ya jiji la Dar es Salaam?

Nimesoma Ulayasi, Ludewa pia nimeishi.
Safi sana napapata vizuri, mwaka 2019 nilikuwa pale mkiu parokiani kwa muda wa miezi 3, na pia uwepo wangu haukuwa mbaya nimepata na mke kutoka Lugalawa.
 
Safi sana napapata vizuri, mwaka 2019 nilikuwa pale mkiu parokiani kwa muda wa miezi 3, na pia uwepo wangu haukuwa mbaya nimepata na mke kutoka Lugalawa.
Mkiu ndio kwetu kabisa pale, shule ya msingi nimesoma Mkiu. Utotoni ruti za Mkiu - Lugarawa kwa mguu tushapiga sana kwenda kuchukua maembe ya kuuza.
 
Mwaka 2015, nikiwa mfuasi wa kindakindaki wa Lowasa.


Mnaukumbuka ule msafara ulivyoanzia pale Ofisi za CUF? Mpaka kwenda Kuchukua Fomu?? Tukazunguka kino kule !!


Sasa wakati hayo yakiendelea niliibiwa wallet inahela, vitambulisho 🤣🤣🤣


Oyaaa oyaaaaa oyaaaaaaaa , sitosahau, nilifanana na kamzimu ,mpaka nafika home , Hata nikitema mate, hayafiki chini
 
JKT ya kwanza (Kurasini) mpaka Tabata Kimanga.

Tabata Kinyerezi mpaka Riverside
 
Nakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.

Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.

Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.

Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
Muhimbili to Kimara-Temboni ndani ndani huko.
 
Mi hata sikumbuki maana nilipotea njia. Mara niko mabibo, mara mburahati, kigogo, natokezea royola, mara mitaa gani sijui!

Ila sitasahau 2006 nikiwa cocacola kwanza (temporary job ya coolers verification surveyor) tulizulula jamaniii! Uwiii! Maisha haya!
 
Kuna 30/12 mwaka 2003 au na 2 barbara ya Tegeta mwenge magari yalipigana lock hakukuwa na bodaboda ENZI ile watu walitembea sana . Mimi na jamaa yangu toka Tegeta hadi River Side
 
Nakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.

Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.

Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.

Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
Tandika Matandu Hadi msasani beach
 
Mbona pafupi tu hapo! Mimi nilikuwa nasoma Urafiki na mwamba mmoja. Huyo alikuwa anatoka Kimara go and return kila siku.
Alikuwa anafika darasani ameshajichokea kabisa.
Duuuh poleee yakee aseeeh
 
Mbezi Beach Tangibovu via Mwenge via Ubungo via Tabata Reli mpaka Tabata Segerea kituoni, hii siku nilijisikia kutembea tu na nikagundua kumbe hakuna umbali wowote
 
Back
Top Bottom