Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko vizuri kamanda, lakini mwendo si huwa unapungua kadri unavyokata distance? namaanisha masaa mawili ya mwanzo speed yako haiwezi lingana na baada ya masaa ma5Watu wanadhani hizi ni kamba ila kiukweli laiti Bongo kungekuwa na mashindano ya kutembea kama Ulaya naamini ningeng'oka na medani.
Picha linaanza umesomea primary & sekondari vijijinini kwa zaidi ya miaka kadhaa ukitafuta shule kwa km 23 × 2 = km 46 (kwenda na kurudi), sasa utashindwaje kutembea km 59 kwa masaa 10 tena huenda ukazidi hapo ukiweka bidii tokana na maisha uliuokulia.
Kukimbia ndiyo huwa najilazimisha kwa dakika 75 na mazoezi ya viungo dakika 10/15, bado ujana unalipa.
Kinachonihasishaga haswa ni vipi ikiwa Mungu atanijalia neema ya maisha marefu, nitafika miaka 70 nikiwa na afya njema au nitakuwa napambana na BP, KISUKARI, SONONA n.k?
NB:
Kesho huandaliwa na leo.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Madale to kariakoo.Kinondoni to Coco to kariakoo
Mzee umesoma Ludewa?Kuna rafiki zangu wakati tunasoma shule ya msini, ile likizo ya mwezi wa 6 walishatembea kwa mguu zaidi ya km 70 kutoka sehemu inaitwa Mlangali hadi Ludewa wilayani. Safari walianza jioni saa kumi na moja wakati tunatoka shule na wakafika asubuhi muda wa chai.
Nimesoma Ulayasi, Ludewa pia nimeishi.Mzee umesoma Ludewa?
Japo pale ni parefu sana na mapori mengi.
Mbona pafupi tu hapo! Mimi nilikuwa nasoma Urafiki na mwamba mmoja. Huyo alikuwa anatoka Kimara go and return kila siku.Mawasiliano hadi muhimbili.
Sema tulikua wawili, ila nilichoka ile siku khaaah.
Upanga to Mwenge, Mlimani City, Ubungo, Manzese, Magomeni, Kariakoo to Upanga, ni mazoeI tu.Nakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.
Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.
Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.
Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
Mwaka 1980 nilisindikiza mdundiko toka Kiwalani mpaka Tegeta,Nakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.
Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.
Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.
Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
umetisha mkuu. hahaaaaa dah kwa siku ngapNishawahi kutembea Dar mpaka Dom haya maisha nyie acheni tu
Segerea to Mwenge hili lilikua ni funzo la kuheshimu pesa........Nakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.
Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.
Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.
Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
kamba [emoji1787][emoji1787]mbezi mwisho - mbagala