Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Acha tuUlipata nguvu hata ya kumtazama uso kweli[emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tuUlipata nguvu hata ya kumtazama uso kweli[emoji4][emoji4]
Tupe kidogo Mikasa ya huko barabarani mkuu mkutembea kwa miguu toka Moro - Dar simchezo,,,Dar moro siku mbili usiku na mchana. Barabara hiyo ina vibwengo kama wote. Sitaweza kusahau.
tupe stori ya hivyo vitokoloshe.Dar moro siku mbili usiku na mchana. Barabara hiyo ina vibwengo kama wote. Sitaweza kusahau.
Watu wanadhani hizi ni kamba ila kiukweli laiti Bongo kungekuwa na mashindano ya kutembea kama Ulaya naamini ningeng'oka na medani.Alikuwa anatembea huyo, mimi nilitembea mwendo wa kawaida kabisa km 32 kutoka makete wilayani hadi ikonda kwa masaa 6 kasoro. Ina maana km 42 ningezimaliza kwa masaa 7 au 8 kwa kutembea.
Uliogelea auMnazi/ kigamboni
Keko/ kigamboni
Kawe kariakoo kariakoo Mabibo mwenge kawe kazi ya kuuza miwa kwenye toroli miwa tunanunulia Tandale enzi hizo chezea shida wewe unatnbea kila siku zaidi ya kilometa 25Nakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.
Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.
Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.
Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
Miaka hiyo nilikua naishi Sinza, ila kule G/Mboto nilienda kwenye mchakato kumnasa mrembo badala yake mimi ndio nikanaswa....🤣Mkuu isiwe tulikuwa tunaishi nyumba moja!
Mimi nimepiga sana route ya Old Forest mpaka Sae kule kwenye transformer za Tanesco.Achana na Dsm
Nilikuwa Mbeya maeneo ya Isanga Tankini, nikapigiwa simu kuna kitu nikifate Nzovwe maeneo ya Iyunga.
Hapo sina nauli
Nikasema sio ishu, nitapiga lwa mbwa haste haste hadi Nzovwe kupitia njia ya hapo Sokomatola, stendi kuu kushuka na kimtetemko cha meta.
Nikafika Nzovwe, mgongoni nilikuwa nimebeba Rasket ambapo ndani yake kulikuwa na vitu vyangu vya muhimu.
Nikatua Rasket nikatoa vitu vilivyokuwa ndani ya Rasket ili niweze kupanga vizuri nipate nafasi ya kuweka hicho kitu nilichokifuata.
Baada ya kukamilisha na kuona kila kitu kipo sawa, nikawaaga nikawa narudi zangu Isanga haste haste.
Nikafika mpaka home huku nikiwa nawatambia wanangu kuwa daladala ni za mademu, mwanaume lazima ukanyage lwa mbwa.
Nikatoa vile vitu kwenye Rasket, katika hali isiyoya kutarajia nikagundua kuna property moja ime miss.
Nikaanza kuvuta kumbukumbu nikagundua ule wakati nikiwa Nzovwe natoa vitu, navyoruishia ndio niliposahau kukirudishia.
Ikabidi kwanza nipige simu Nzovwe ku confirm, wakaniambia kweli nimekisahau.
Kwa hiyo nikawa na root nyingine ya kurudi tena Nzovwe lwa mbwa.
Hii route ya Tirdo to Kinondoni ilimfanya jamaa yangu arudi Morogoro hakutaka tabuMsasani tirdo to tabata kimanga sitasahau maishani
Daah longtimeMimi nimepiga sana route ya Old Forest mpaka Sae kule kwenye transformer za Tanesco.