Umezaje kuzaa watoto wasio na virusi na wewe una UKIMWI??

Umezaje kuzaa watoto wasio na virusi na wewe una UKIMWI??

Hypersonic WMD

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,337
Reaction score
1,876
Richa ya kua kuna huduma za PMTCT lakini kuna watoto wengine huwa wanapata maambukizi licha ya kua wamezaliwa kituoni.

Hai galantii kwamba kwasababu wazazi wako positive na wanatumia ndio watazaa mtoto asiye na maambukizi?!!

Nataka njia au evidence based stories za hawa watu
 
Back
Top Bottom