Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Richa ya kua kuna huduma za PMTCT lakini kuna watoto wengine huwa wanapata maambukizi licha ya kua wamezaliwa kituoni.
Hai galantii kwamba kwasababu wazazi wako positive na wanatumia ndio watazaa mtoto asiye na maambukizi?!!
Nataka njia au evidence based stories za hawa watu
Hai galantii kwamba kwasababu wazazi wako positive na wanatumia ndio watazaa mtoto asiye na maambukizi?!!
Nataka njia au evidence based stories za hawa watu