To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣Yupo mstari wa mbele kabisa kukupopoa😄huyu wa kujiita jobless akamatwe anyongwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Yupo mstari wa mbele kabisa kukupopoa😄huyu wa kujiita jobless akamatwe anyongwe
daah mwana leo umeamua kupita na mm mazima mazimaRazima arimwe, urizani atapita sarama katika hiri. Wanasema hiri naro ritapita, rakini kwenye hiri hapana aisee hatutakubari ripite
Kumbe ni kiswaEngrish.. urimuacha kidogo To yeyesasa icho si kiswahili cha Ha gurantee hichi ni kiswanglish
Ata mimi sijui ntararaje aisee. Rimeniriza sana hirinajikuta naria nikirudia kusoma hiri riuzi dah! 🙂
Uzi umeingiliwa na vichaa 😂😂hawa ni wale vijana wa hovyoLeteni majibu wazee...
Mnakosoa2 uandishi wake yan
Ndugu ngoja tu nikusaidie.Richa ya kua kuna huduma za PMTCT lakini kuna watoto wengine huwa wanapata maambukizi licha ya kua wamezaliwa kituoni.
Hai galantii kwamba kwasababu wazazi wako positive na wanatumia ndio watazaa mtoto asiye na maambukizi?!!
Nataka njia au evidence based stories za hawa watu
Mkuu ngoja wenye miwaya waje. Wametoka kidogoUzi umeingiliwa na vichaa 😂😂hawa ni wale vijana wa hovyo
Kitu gani unahitaji kufahamu / kueleweshwa juu ya huduma ya PMTCT?hujaelewa wap R & L
We unautaaramu wa afya?Ndugu ngoja tu nikusaidie.
Kiufupi hakuna kinga yeyote ya HIV inayofanya kazi kama kutatokea na muingiliano wa damu.(Mchanganyikano wa damu
Wa baina ya mwenye maambukizi na asiye na maambukizi.
Hivyo basi kinga zote za HIV nindhaifu na hazifanyi kazi kwenye mchanganyikano wa damu
OVER
Kanikomalia uzi mzima mwanzo mwisho🤣🤣Yupo mstari wa mbele kabisa kukupopoa😄
si umeelewaFanya Masahihisho Kwenye Thread Wakati Nawaleta "Doctors Without Borders, "
Kujibu Hilo Swali Lako
NdioWe unautaaramu wa afya?
Ok hakuna kinga yoyote ya HIV?Ndio
Nimekabia juu kama Mourinho?Hapa umemkazia mno aisee
Na ukikaidi hii coment yangu ipo siku utakuja na kilio.Ndugu ngoja tu nikusaidie.
Kiufupi hakuna kinga yeyote ya HIV inayofanya kazi kama kutatokea na muingiliano wa damu.(Mchanganyikano wa damu
Wa baina ya mwenye maambukizi na asiye na maambukizi.
Hivyo basi kinga zote za HIV nindhaifu na hazifanyi kazi kwenye mchanganyikano wa damu
OVER
Hapo nimekusoma ingawa umeensa nje ya maadaNa ukikaidi hii coment yangu ipo siku utakuja na kilio.
Pia yote ya yote hakuna kinga ya asilimia 100% kwenye gonjwa lolote lile. Kinga zote zina asilimia. Na hazifiki 90.
Kinga zote anazotengeneza binadamu zinakuwa udhaifu wake mahali. Kuwa makini.
Ok hakuna kinga yoyote ya HIV?