Acha kukaza fuvu hilo. Mtoa mada anauliza kuhusu PMTCT wewe unatuletea story za kijiweniPia wewe hujui kitu kuhusu HIV (Ugonjwa , kinga na tiba
Acha kudanganya watu mtaani kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kukaza fuvu hilo. Mtoa mada anauliza kuhusu PMTCT wewe unatuletea story za kijiweniPia wewe hujui kitu kuhusu HIV (Ugonjwa , kinga na tiba
Acha kudanganya watu mtaani kwako.
Wewe umejifunza wapi?Ni wazi hujui kitu unachoongelea. Kajifunze kwanza maana na tofauti ya PMTCT, PEP na PrEP
🤣🤣Una balaaNimekabia juu kama Mourinho?
Mkuu ebu niambie hili la PreP na PEP kuangamiza watuKama hayo ma pep na Prep yameshaangamiza wajinga wengi kama yeye mwache tu ajichanganye.
🤣Mbona mkali Tena🤭Umeng'ang'ania kutaka ushahidi. Sasa tafuta muathirika akutie mimba, halafu meza dawa kwa wakati. Ukijifungua mtoto negative inakuwa ushapata ithibati yako.
Kinyume na hapo tuondolee ubishi wa kindezi hapa.
Jamaa hana utaalamu wa afya, atakupotezamkuu si vema kutoa conclusion kwa kuangalia mtazamo wa mtu
mkuu sikujua kama hili jambo HALIJAKUNOGEA naomba nifute uziUmeng'ang'ania kutaka ushahidi. Sasa tafuta muathirika akutie mimba, halafu meza dawa kwa wakati. Ukijifungua mtoto negative inakuwa ushapata ithibati yako.
Kinyume na hapo tuondolee ubishi wa kindezi hapa.
Nimeshtuka namm🤣Mbona mkali Tena🤭
🤣🤣🤣Sasa anataka ushahidi gani zaidi ya kushika mimba🤣🤣🤣🤣🤣Mbona mkali Tena🤭
Jibu kwanza maswali yangu, kama huna majibu acha kutoa ushauri wa uongoWewe umejifunza wapi?
Na kwanini ukajifunza?
Na je ugonjwa uliupata kwa njia ya kuambukizwa au ulizaliwa nao?
Najua yawezekana hana utalam huo lakin bado yuko sahihi sehemu moja kwene %Jamaa hana utaalamu wa afya, atakupoteza
nitashika ya nani mkuu🤣🤣🤣Sasa anataka ushahidi gani zaidi ya kushika mimba🤣🤣🤣🤣
Nashukuru ndugu yangu wewe umenielewa, sijajua jamaa kafeli wapi?Najua yawezekana hana utalam huo lakin bado yuko sahihi sehemu moja kwene %
Njia zote hamna yenye 100% safe ila zina mchango mkubwa sana
🤣🤣🤣 We mdomo unakuponza😄🙌Nimeshtuka namm
heeh saa itakuaje aisee🤣🤣🤣 We mdomo unakuponza😄🙌
🤣🤣🤣 Ngoja wakunyoosheheeh saa itakuaje aisee
Nadhan anataka muoneshane makaliNashukuru ndugu yangu wewe umenielewa, sijajua jamaa kafeli wapi?
siwajibu wale washenzi wengine 😂😂😂wana masihara sana🤣🤣🤣 Ngoja wakunyooshe
Mkuu na sio tu (Safe) hata kwenye ufanye wa kazi na kuleta matokeo ya uhakika hakuna imefika hata 80% ndio maana majaribio yanandelea kila kukicha.Najua yawezekana hana utalam huo lakin bado yuko sahihi sehemu moja kwene %
Njia zote hamna yenye 100% safe ila zina mchango mkubwa sana
Ya muathirika🤣🤣🤣🤣🤣nitashika ya nani mkuu