Umiza akili katika maswali matatu, uongeze IQ yako

Umiza akili katika maswali matatu, uongeze IQ yako

MAJIBU
1. Utakuwa mtu wa pili.
2.Utabakiwa na Mbuzi 7
3. Doctor ni mama
-Doctor hawezi toa excuse ya kutomtibu mtu. Yule ndie mama mzazi wa mtoto ndio maana akatoa excuse.

Kama kuna aliejibu hivyo na sikuona , Nambie ni page post ngapi 🙏🏾
Mkuu hapo namba mbili naomba nikupingi maana hukuwa na mbuzi ila ulichukulia kama unambuzi.
Nadhan nextime uwe unaangalia vizur.

Kama sivyo bora ungesema kabisa "unambuzi kadhaaa. Kadha wakafaaaa sasa hapo umetufanya tupate yote tukose hao mbuzi wa kufikirika tuuu"

Anyway tunashukuru kwa kutuchangamsha
 
MAJIBU
1. Utakuwa mtu wa pili.
2.Utabakiwa na Mbuzi 7
3. Doctor ni mama
-Doctor hawezi toa excuse ya kutomtibu mtu. Yule ndie mama mzazi wa mtoto ndio maana akatoa excuse.

Kama kuna aliejibu hivyo na sikuona , Nambie ni page post ngapi [emoji1488]
Ni majibu sahihi kwa mtazamo wako.
 
1. Anakuwa wa pili (kachukua nafasi ya aliyekuwa wa pili)
2. Umepata
3. Daktari ni mama wa mtoto....

Kwani wewe shuleni ulienda kusoma ujinga?
Kwani mie faiza 🤣 nini kimekufanya udhani dr ni mama na sio hata mama mkubwa
 
Big
Mkuu hapo namba mbili naomba nikupingi maana hukuwa na mbuzi ila ulichukulia kama unambuzi.
Nadhan nextime uwe unaangalia vizur.

Kama sivyo bora ungesema kabisa "unambuzi kadhaaa. Kadha wakafaaaa sasa hapo umetufanya tupate yote tukose hao mbuzi wa kufikirika tuuu"

Anyway tunashukuru kwa kutuchangamsha
Tatizo mmesoma nusu nusu, Alafu kumbuka hizi ni chemsha bongo so lazima uwe makini na kila Sentensi ili ujue lengo la alielifumba fumbo hilo.

Mbona wako waliopata na wakasema kabsa ni Mbuzi 7. Kwenye wote walifanikiwa kujibu ni mmoja tu aliepata yote matatu kwa usahihi.

Ukianza kubishana na majibu ya mwalimu basi tena hapo😅

THANKS KWA WOTE WALIOCHANGIA KWENYE UZI HUU.

Hope nextime mtakuwa tayari na mimi ntakuja na nyingine Tano Conki 🙏🏾
 
Big
Mkuu hapo namba mbili naomba nikupingi maana hukuwa na mbuzi ila ulichukulia kama unambuzi.
Nadhan nextime uwe unaangalia vizur.

Kama sivyo bora ungesema kabisa "unambuzi kadhaaa. Kadha wakafaaaa sasa hapo umetufanya tupate yote tukose hao mbuzi wa kufikirika tuuu"

Anyway tunashukuru kwa kutuchangamsha
Tatizo mmesoma nusu nusu, Alafu kumbuka hizi ni chemsha bongo so lazima uwe makini na kila Sentensi ili ujue lengo la alielifumba fumbo hilo.

Mbona wako waliopata na wakasema kabsa ni Mbuzi 7. Kwenye wote walifanikiwa kujibu ni mmoja tu aliepata yote matatu kwa usahihi.

Ukianza kubishana na majibu ya mwalimu basi tena hapo😅

THANKS KWA WOTE WALIOCHANGIA KWENYE UZI HUU.

Hope nextime mtakuwa tayari na mimi ntakuja na nyingine Tano Conki 🙏🏾
 
Hizi ni chemsha bongo tatu tu ,na atakae patia chemsha bongo zote tatu bila kukosea namba hata moja, atapata zawadi ya Vocha ya mtandao atakao taka papo hapo.

Zinaenda kwa mfumo wa maswali hivo kuwa makini, Fikiria kabla hujajibu.

SWALI LA KWANZA
Je , ukiwa ndani ya mashindano na ukampita mtu wa pili, wewe unakuwa mtu wa ngapi?

SWALI LA PILI
Imagine ulikuwa na Mbuzi 15 ,wakafa wote isipikuwa Mbuzi 7 , Je utakuwa umebakiwa na Mbuzi wangapi?

SWALI LA TATU
Baba na mtoto wakiwa safarini walipata ajali na Baba akafa pale pale, Wakati mtoto yuko maututi akawaishwa hospitali , Doctor akasema " Siwezi kukutibu mwanangu".

Je, Doctor ni nani?

Zawadi ipo wazi kwa atakae jibu kwa usahihi maswali yote matatu.

GOODLUCK!
SWALI LA NNE
Kwanini kesho huwa haiji
 
Swali la kwanza unakuwa wa pili
Swali la pili wanabaki saba
Swali la tatu ni mama
 
1. Neno isipokuwa linamaanisha hao Saba hawakufa.

Kwa ivo inakuwa 15-7=8. Kimantiki mbuzi waliokufa ni 8 na waliobakia ni 7.
Mp
2. Ukimpita mtu wa pili wewe ndiyo unakuwa wa pili. 2-1+1=2.

3. daktari ni daktari ila ametumia neno "mwanangu" kuonesha utofauti wa umri kati yao.
hili ndo jibu
 
Ukiwa ndani ya mashindano na ukampita mtu wa pili, unakuwa wa pili.
 
Ukiwa ulikuwa na Mbuzi 15 na wakafa wote isipokuwa 7, utabaki na Mbuzi 7.
 
1. Takuwa wa pili.2.Sitakuwa na mbuzi 3.Baba
 
Back
Top Bottom