Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Kwel...Umenyima vocha watu
Mkuu hutendi haki, naumiza kichwa mtaani na jf pia?Hizi ni chemsha bongo tatu tu ,na atakae patia chemsha bongo zote tatu bila kukosea namba hata moja, atapata zawadi ya Vocha ya mtandao atakao taka papo hapo.
Zinaenda kwa mfumo wa maswali hivo kuwa makini, Fikiria kabla hujajibu.
SWALI LA KWANZA
Je , ukiwa ndani ya mashindano na ukampita mtu wa pili, wewe unakuwa mtu wa ngapi?
SWALI LA PILI
Imagine ulikuwa na Mbuzi 15 ,wakafa wote isipikuwa Mbuzi 7 , Je utakuwa umebakiwa na Mbuzi wangapi?
SWALI LA TATU
Baba na mtoto wakiwa safarini walipata ajali na Baba akafa pale pale, Wakati mtoto yuko maututi akawaishwa hospitali , Doctor akasema " Siwezi kukutibu mwanangu".
Je, Doctor ni nani?
Zawadi ipo wazi kwa atakae jibu kwa usahihi maswali yote matatu.
GOODLUCK!
Wabongo we watangazie maokoto tu..utawaokota!
Sio kweli, unless haujui IQ ni niniVinaenda sawa mkuu, wenye maokoto wana IQ kubwa 😅
Ukimpita mtu wa pili si ndio wewe unakuwa wa pili?😂😂😂 Good try ,ila haujapata hata Moja sas
Hivi unakimbiliaga kujibu maswali uonekane wakwanza au ubongo wako ndio huu mfumo wake wa ufikiriaji?1: Mi mtu wa kwanza
2: Mbuzi 0 make wote wamekufa
3: Doctor ni mchepuko
Tuma kwa namba hii hii jina litakuja Evelyn
Hahahah.........nilijuwa vijana wengi wa hovyo 😅😅😅😅.....Ndio jibu sahihi, ila Umetoa jibu baada ya mm kutoa ,😂 So sorry
Nangoja mzeemkuu , nipe namba yako 🙏🏾☑️🤭
😂😂Tugawane ukipataNangoja mzee
Ntakupunguzia ata 250,pm siku hizi mbona sms nashidwa kumtumia namba,mnafanyaje?maana naona Kuna mabadiliko,nielekeze chap,maokoto tutagawana😂😂Tugawane ukipata
Ujumbe kuingia naona,Ila kusoma hazifunguki😂😂Tugawane ukipata
Nilikwambia, majibu haya yalishatolewa.MAJIBU
1. Utakuwa mtu wa pili.
2.Utabakiwa na Mbuzi 7
3. Doctor ni mama
-Doctor hawezi toa excuse ya kutomtibu mtu. Yule ndie mama mzazi wa mtoto ndio maana akatoa excuse.
Kama kuna aliejibu hivyo na sikuona , Nambie ni page post ngapi 🙏🏾
🙆🙆🙆Ujumbe kuingia naona,Ila kusoma hazifunguki
Nini maana ya mbuzi "wote kufa".... hao 7 walifufuka?MAJIBU
1. Utakuwa mtu wa pili.
2.Utabakiwa na Mbuzi 7
3. Doctor ni mama
-Doctor hawezi toa excuse ya kutomtibu mtu. Yule ndie mama mzazi wa mtoto ndio maana akatoa excuse.
Kama kuna aliejibu hivyo na sikuona , Nambie ni page post ngapi 🙏🏾
Niwekee namba yako apa nikupigie alafu maokoto yaingie kwako ,ule ten percent
Ukimpita mtu wa pili obviously utakuwa mtu wa tatu kaka😁😁Ukimpita mtu wa pili si ndio wewe unakuwa wa pili?