Umiza akili katika maswali matatu, uongeze IQ yako

Umiza akili katika maswali matatu, uongeze IQ yako

1. Yaani umpite wa Pili halafu wewe ndio uwe wa pili!? Ukimpita wa pili si unamuacha kwenye hiyo hiyo namba yake wewe unakuwa kwenye namba ya juu yake!?

2. Ushasema mbuzi wote wamekufa(shikilia hapa, WOTE) tuma vocha yangu ya eatel hapa hapa
utawawahi kuingiza hyo vocha akiweka hadharan
 
MAJIBU
1. Utakuwa mtu wa pili.
2.Utabakiwa na Mbuzi 7
3. Doctor ni mama
-Doctor hawezi toa excuse ya kutomtibu mtu. Yule ndie mama mzazi wa mtoto ndio maana akatoa excuse.

Kama kuna aliejibu hivyo na sikuona , Nambie ni page post ngapi 🙏🏾
 
😅😅😅😅 nalijibu kichuo chuo sasa mzee wangu


1,Kwa kawaida kwenye mashindano Kuna washiriki kibao sasa kitendo Cha wewe kumpita mtu wapili moja Kwa moja kunaye wa kwanza mbele so wewe lazima uwe wa pili(2) kuchukua nafasi ya yule uliyempita

2,Mbuzi wote wamekufa (15) isipokuwa Mbuzi saba

Nalijibu Kwa pande mbili pande ya kwanza Kwa wanayanga wanaweza kusema imebaki na Mbuzi mmoja endapo iyo saba wakiwa wamechukulia kama namba ya Mbuzi kati ya wote

Lakini upande wapili Kwa sisi wanasimba 😅 naweza kusema wamebaki 7 kama tukichukulia hizo namba tajwa hapo juu zipo kuwakilisha jumla ya wanyama hao katika sehemu Fulani

3,always baba Ili apate mtoto lazima awe na mama baasi wanafanya Yao mtoto anazaliwa ,sasa kama baba kafa na mtoto ashakuwa mkubwa probably kabaki mama yake.....so nataka kusema kuwa Mama ndiye aliyekuwa daktari ,






Sasa hapo nimekupangilia sasa kichuo chuo kataa na hapa 😅😅

Ukikata majibu yangu nakupelekea polisi Kwa kosa la kuuza bandari ( 😅😅😅😅😅)
 
😅😅😅😅 nalijibu kichuo chuo sasa mzee wangu


1,Kwa kawaida kwenye mashindano Kuna washiriki kibao sasa kitendo Cha wewe kumpita mtu wapili moja Kwa moja kunaye wa kwanza mbele so wewe lazima uwe wa pili(2) kuchukua nafasi ya yule uliyempita

2,Mbuzi wote wamekufa (15) isipokuwa Mbuzi saba

Nalijibu Kwa pande mbili pande ya kwanza Kwa wanayanga wanaweza kusema imebaki na Mbuzi mmoja endapo iyo saba wakiwa wamechukulia kama namba ya Mbuzi kati ya wote

Lakini upande wapili Kwa sisi wanasimba 😅 naweza kusema wamebaki 7 kama tukichukulia hizo namba tajwa hapo juu zipo kuwakilisha jumla ya wanyama hao katika sehemu Fulani

3,always baba Ili apate mtoto lazima awe na mama baasi wanafanya Yao mtoto anazaliwa ,sasa kama baba kafa na mtoto ashakuwa mkubwa probably kabaki mama yake.....so nataka kusema kuwa Mama ndiye aliyekuwa daktari ,






Sasa hapo nimekupangilia sasa kichuo chuo kataa na hapa 😅😅

Ukikata majibu yangu nakupelekea polisi Kwa kosa la kuuza bandari ( 😅😅😅😅😅)
Ndio jibu sahihi, ila Umetoa jibu baada ya mm kutoa ,😂 So sorry
 
Ukipita wapili wewe unakua wapili nawapili anakua watatu.
Kama mbuzi walikua15 wakafa wote inamaana hao saba sio Kati yawalio kufa.kwaiyo hautakua nambuzi ata1 katka15...maana ujasema Kama walifufuka.
 
MAJIBU
1. Utakuwa mtu wa pili.
2.Utabakiwa na Mbuzi 7
3. Doctor ni mama
-Doctor hawezi toa excuse ya kutomtibu mtu. Yule ndie mama mzazi wa mtoto ndio maana akatoa excuse.

Kama kuna aliejibu hivyo na sikuona , Nambie ni page post ngapi 🙏🏾
Angalia 66
 
Swali la kwanza: nitakuwa mtu wa pili
Swali la tatu: sitabakiwa na mbuzi maana wamekufa white
Swali la tatu: dokta ni mama wa mtoto
 
Back
Top Bottom