Mr Lukwaro
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 359
- 629
- Thread starter
- #41
Subir majibuMAJIBU
1.Nitakuwa mtu wa 2
2.Walibaki mbuzi 7
3.Mtoto hakufahamu lolote kwasababu alikuwa mahututi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subir majibuMAJIBU
1.Nitakuwa mtu wa 2
2.Walibaki mbuzi 7
3.Mtoto hakufahamu lolote kwasababu alikuwa mahututi.
😀😀 haya buanaKuna moja pale lime kuponza, ila wapo walio lipata 😅
Mchepuko sio baba/mama 🙄 nipewe zawadi zanguDoctor ni mama
Mchepuko sio mzazi banaaa, ni intruder😀Mchepuko sio baba/mama 🙄 nipewe zawadi zangu
🤣🤣🤣Mchepuko sio mzazi banaaa, ni intruder😀
Ni jibu lakin sio jibu sahihi 😅Mchepuko sio baba/mama 🙄 nipewe zawadi zangu
NOOOP 😂1. Wapili toka mwisho
2. 0
3. Doctor
Good try1...sijui mpaka mashindano yatakapoisha
2... 0
3... Mama
😂😂😂Wote mmekosa mi nawashangaa sana inamaama IQ zenu zimezorota kama umeme wa tanesko!.
Page ya tatu hii na hakuna aliepata...😂
Kazi ipo.. mweka mada baki na zawadi yako tu hizi ni dharau.
Mbona mm huniambii nimepata ngapi post no. 14Mpaka sasa hakuna aliepatia majibu yote matatu, wengi wanapatia mawili tu, KEEP TRYING GUYZ
kwa bahati mbaya hakuna ulilopata 😅Mbona mm huniambii nimepata ngapi post no. 14
nimekosea wap mkuuGood try