nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,673
- 5,402
1. Yaani umpite wa Pili halafu wewe ndio uwe wa pili!? Ukimpita wa pili si unamuacha kwenye hiyo hiyo namba yake wewe unakuwa kwenye namba ya juu yake!?
2. Ushasema mbuzi wote wamekufa(shikilia hapa, WOTE) acha uhuni
3. Neno Mwanangu ni pana sana kimatumizi
Usilete uhuni, tuma vocha yangu ya eatel hapa hapa
2. Ushasema mbuzi wote wamekufa(shikilia hapa, WOTE) acha uhuni
3. Neno Mwanangu ni pana sana kimatumizi
Usilete uhuni, tuma vocha yangu ya eatel hapa hapa