Uchaguzi 2020 Ummy Mwalimu atangaza kugombea Ubunge Jimbo la Tanga mjini

Kwanini asigombee chato??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja tanga yote majimbo yote wagombee wanawake sababu wansume wengi Wa Tanga wamekaa kike kike kuanzia kujipodoa had I kudeka sihawahi on a wadekaji kama wanaume Wa Tanga

Bora tu washike ubunge wanawake lieweke moja

Wanawake Wa Tanga hawana Tabia za kudeka ni wachapa kazi ila wanaume Wa Tanga kwa kudeka na kujipodoa wanatisha na sio wachapa kazi kama
Wanawake

Nenda Ummy kagombee nakuunga mkono
 
Umetisha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha
Inamaana wakina mwana FA ndiyo vile tena

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
She is capable of doing the work. Halafu sidhani kama wapiga fitna wana nafasi tena ya kumzuia
 
Hospitali ambazo hazina vifaa ndiyo amefanya maendeo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…