Pre GE2025 Ummy Mwalimu (Odo) wa sasa si wa miaka ya Kikwete. Maisha ni mafupi sana

Pre GE2025 Ummy Mwalimu (Odo) wa sasa si wa miaka ya Kikwete. Maisha ni mafupi sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Nimeamini msemo wa Vunja mifupa ungali meno iko.

Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote. Hadi Jokate anamshangaa

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baada ya kupigwa kofi?

Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.

IMG-20250301-WA0033.jpg
 
Anata
Nimeamini msemo wa Vunja mifupa unfali meno iko.

Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baadaya kupigwa kofi?

Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.

View attachment 3254712
Anatafuta ugali huyo hana lolote
 
Beautiful & intelligent
Nimeamini msemo wa Vunja mifupa unfali meno iko.

Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baadaya kupigwa kofi?

Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.

View attachment 3254712
 
Nimeamini msemo wa Vunja mifupa unfali meno iko.

Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baadaya kupigwa kofi?

Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.

View attachment 3254712
Ukiwa huna Hela Mwanamke akikupigia Goti wanasema ni Utumwa😀😀
 
Back
Top Bottom