gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Wewe mwenye maslahi na taifa kagombee ubungeHuyo kama kufanikiwa tayari kesha fanikiwa, apishe na wengine wanufaike na wale keki ya taifa
kwa taarifa yako watu kama hao hawana maslahi ya utaifa, ni wapigaji na wapo bungeni kwa maslahi yao
sina njaa kama wewe chawa wa ummy