Pre GE2025 Ummy Mwalimu (Odo) wa sasa si wa miaka ya Kikwete. Maisha ni mafupi sana

Pre GE2025 Ummy Mwalimu (Odo) wa sasa si wa miaka ya Kikwete. Maisha ni mafupi sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyo kama kufanikiwa tayari kesha fanikiwa, apishe na wengine wanufaike na wale keki ya taifa

kwa taarifa yako watu kama hao hawana maslahi ya utaifa, ni wapigaji na wapo bungeni kwa maslahi yao

sina njaa kama wewe chawa wa ummy
Wewe mwenye maslahi na taifa kagombee ubunge
 
Wanasiasa wa Tanzania ni wafupi sana kwa kimo, huenda ndio maana wanakuwa na fikra finyu.
 
Ubunge iwe mwisho Awamu mbili za miaka 5 mitano, kama urais, yaan itafaa rais mpya na wabunge wapya wanakuwa wengi wapya na mawazo mapya
Uchawa utapungua
Wazo zuri sana kwa nini miaka yote jimbo liongozwe na mtu mmoja tu mpaka mtu anazeekea bungeni kama wakina Wasira.
Hii sio fair kabisa.
 
Ummy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo
Dah,
Watu mnazo data zake zote!!
Ni mabasi gani, hotel gani, hospital gani?
 
Nimeamini msemo wa Vunja mifupa ungali meno iko.

Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote. Hadi Jokate anamshangaa

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baadaya kupigwa kofi?

Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.

View attachment 3254712
Mkuu iyo raba sio ya mtumba , pili uliza ujibiwe ,tz hii hakuna ambae amekuwa waziri na hayuko vizuri, uyu mama kwa Dodoma tu anazo apartment za maana, akibisha aje nitamwambia ziko wapi mpaka mafundi waliotumika eneo husika.

Siko hapa mlaum ila kumpongeza kwamba kile ambacho amepata amewekeza vizuri .
Naishia hapa.

Kuna waziri hapo Dodoma yupo na bajaji zaidi ya 40 achana na mengine.

Kuna waziri ana nyumba za kupangisha wenda kila mkoa kama sio kila wilaya, watu wamewekeza mkuu , msione yale makofi bungeni na kugonga meza , watu wana mambo yao .
 
hata mimi hupenda uvaaji wake, havai mahijabu na majuba ya kidini
Atavaa nusu uchi kabisa ili awafurahishe.......kwenye dini yetu ukristo mwanamke kuvaa nusu uchi tunasema ni sawa,yesu eti aangalii mavazi!

Hivi kwann sisi wakristo tunawachukia wanawake wa kiislamu wanaovaa mavazi ya stara!!? wakivaa nusu uchi ndio furaha yetu ati!!!
 
Si ni kama yule aliyegaragara chini tu,sema yeye kachagua style yake.
 
Hivi kwann sisi wakristo tunawachukia wanawake wa kiislamu wanaovaa mavazi ya stara!!? wakivaa nusu uchi ndio furaha yetu ati!!!
Siyo kweli,
Tupo tunaovutiwa na Ke akivaa hijab au gauni la heshima kuliko suruali, ki-min au vinguo vya kubana. Ni kama chakula kizuri, kikiachwa wazi mende, nzi wanakivuruga watakavyo huwezi kukitamani.

Niliona mmoja amevaa suruali imebana kama "skin tight" mfereji wa mbususu unasomeka vizuri tu, ki t-shirt kifupi unaona kitovu!! Ule si ulimbukeni??

Manzi wa hivyo hata ukibeba unapiga pipe umevaa condom 4 kwa pamoja kwa tahadhari, ukimaliza una block na kufuta namba
 
Atavaa nusu uchi kabisa ili awafurahishe.......kwenye dini yetu ukristo mwanamke kuvaa nusu uchi tunasema ni sawa,yesu eti aangalii mavazi!

Hivi kwann sisi wakristo tunawachukia wanawake wa kiislamu wanaovaa mavazi ya stara!!? wakivaa nusu uchi ndio furaha yetu ati!!!
kwani huyo odo anavaa nusu uchi? Acha udini utadumaa akili
 
Kuna demu mmoja wa Lushoto nilikuwa na mahusiano naye 12 years ago..... Amefanana na Ummy Mwalimu doh!!!.....!!
Anyway hata Ummy ni fantasy naye.
 
Hivi pesa wanapelekaga wapi hawa. Miaka yote hio yupo bungeni bado ananyenyekea watu daah
Wajanja sasa ivi wananyenyekea kwa ajili ya vizazi vyao vijavyo
 
Back
Top Bottom