Pre GE2025 Ummy Mwalimu (Odo) wa sasa si wa miaka ya Kikwete. Maisha ni mafupi sana

Pre GE2025 Ummy Mwalimu (Odo) wa sasa si wa miaka ya Kikwete. Maisha ni mafupi sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna demu mmoja wa Lushoto nilikuwa na mahusiano naye 12 years ago..... Amefanana na Ummy Mwalimu doh!!!.....!!
Anyway hata Ummy ni fantasy naye.
kwa kweli ni pisi kali
 
Sioni shida. Ni utii wa kawaida
Nimeamini msemo wa Vunja mifupa ungali meno iko.

Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote. Hadi Jokate anamshangaa

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baada ya kupigwa kofi?

Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.

View attachment 3254712
ii
 
Waislamu poa kama hao ndiyo mnavutiwa nao na hatushangai maana tumeshapewa tahadhari mapema juu yenu makafiri na mayahudi kwamba hamtokuwa radhi hadi tufuate mila zenu.
Ndivyo wakristo walivyo mkuu wanapenda waislamu poa poa
 
Back
Top Bottom