LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
kwa kweli ni pisi kaliKuna demu mmoja wa Lushoto nilikuwa na mahusiano naye 12 years ago..... Amefanana na Ummy Mwalimu doh!!!.....!!
Anyway hata Ummy ni fantasy naye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa kweli ni pisi kaliKuna demu mmoja wa Lushoto nilikuwa na mahusiano naye 12 years ago..... Amefanana na Ummy Mwalimu doh!!!.....!!
Anyway hata Ummy ni fantasy naye.
Kampuni yake ni ipi niyapandeKaiba mapesa ya miradi ya wizara ya Afya kaenda kununua mabasi......
Awali alikuwa havai ili siku hizi anavaa sana Hijab. Siku hizi hata wamisheni wanaivaa.ODDO
anavaa kama Rais?Awali alikuwa havai ili siku hizi anavaa sana Hijab. Siku hizi hata wamisheni wanaivaa.
Amandla..
iiNimeamini msemo wa Vunja mifupa ungali meno iko.
Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote. Hadi Jokate anamshangaa
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baada ya kupigwa kofi?
Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.
View attachment 3254712
Jina la mabasiUmmy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo
Kuna hijab za vijana na za watu wazima. Anavaa kama kofia, sio mtandio. Muhimu ni nywele zake hazionekani.anavaa kama Rais?
Tanzania tuko kwenye level nyingine kwa watu kujipendekeza kwa rais. Hii ni hatari sana mtu mmoja kuwa kama ndiye Mungu. Halafu watu hawana aibu tena sasa hivi.Ukitaka Cha uvunguni sharti uiname mkuu,unaleta kiburi kwa anayekupa kula!?🤔
Wayahudi mnapenda waislamu tufanye upumbavu kama nyie?hata mimi hupenda uvaaji wake, havai mahijabu na majuba ya kidini
Ndivyo wakristo walivyo mkuu wanapenda waislamu poa poaWaislamu poa kama hao ndiyo mnavutiwa nao na hatushangai maana tumeshapewa tahadhari mapema juu yenu makafiri na mayahudi kwamba hamtokuwa radhi hadi tufuate mila zenu.
Mkuu nimecheka ghafla yani....anyway ila odo ni mkulima mzuri tu.Uvivu wa kulima tu
hata anavyovaa ni uhafidhina wa dini pia.inategemea dini ganiMimi huwa napenda anavyovaa. Hana uhafidhina wa dini
No way out...Kila mtu anapambania kutoboaTanzania tuko kwenye level nyingine kwa watu kujipendekeza kwa rais. Hii ni hatari sana mtu mmoja kuwa kama ndiye Mungu. Halafu watu hawana aibu tena sasa hivi.
Unachukiaje avaacho mtu mwingine ?!!!hata mimi hupenda uvaaji wake, havai mahijabu na majuba ya kidini
Mtu mwenye akili timamu anachukiaje kwaresma na Ramadhan?!!Yaani unachukia ushungi!!.. Quran iko spot on