Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kulinda walivyo vuna. Si unajua uvinaji wenyewe umejaa makona makona mengiHivi pesa wanapelekaga wapi hawa. Miaka yote hio yupo bungeni bado ananyenyekea watu daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulinda walivyo vuna. Si unajua uvinaji wenyewe umejaa makona makona mengiHivi pesa wanapelekaga wapi hawa. Miaka yote hio yupo bungeni bado ananyenyekea watu daah
Bila shaka unamaanisha awamu mbiliUbunge iwe mwisho miaka miwili kama urais, yaan itafaa rais mpya na wabunge wapya. Uchawa utapungua
ODDONi yupi huyo asiyevaa Hijab?
Amandla...
Waislamu poa kama hao ndiyo mnavutiwa nao na hatushangai maana tumeshapewa tahadhari mapema juu yenu makafiri na mayahudi kwamba hamtokuwa radhi hadi tufuate mila zenu.hata mimi hupenda uvaaji wake, havai mahijabu na majuba ya kidini
Wenye njaa kazi yenu ni kutaka wengine wasile,kuna kazi nyingi,fanya,kama unaona ni rahisi kuwa mbunge zaidi ya mara mbili jaribu
Kiatu hicho hakizidi 50k, labda awe amepigwa na wauzaji.Nimependa kiatu chake😍.
Mabasi yake yanaitwaje ? Na hoteli ni ipi?Sio wa kumchukulia poa huyo kapiga B kadhaa ,hivi sasa anamiliki mabasi na Hotel kadhaa
Hivi mabasi yake yanaitwaje??Sio wa kumchukulia poa huyo kapiga B kadhaa ,hivi sasa anamiliki mabasi na Hotel kadhaa
maushungi na mahijabu mpaka shuleni ni kero na ni kitishoWaislamu poa kama hao ndiyo mnavutiwa nao na hatushangai maana tumeshapewa tahadhari mapema juu yenu makafiri na mayahudi kwamba hamtokuwa radhi hadi tufuate mila zenu.
siasa inalipa vizuri sanaUmmy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo
Mabasi gani hayo(ya kampuni gani) mkuu?Kaiba mapesa ya miradi ya wizara ya Afya kaenda kununua mabasi......
Mheshimiwa Ummy Mwalimu yupo vizuri sana na ni mtu mwema na muungwana .Mwenye huruma na upendo. Na mtu mwenye bidii ya kazi. Naamini siku moja atarejeshwa Barazani na Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa
Wivu tumaushungi na mahijabu mpaka shuleni ni kero na ni kitisho