Pre GE2025 Ummy Mwalimu (Odo) wa sasa si wa miaka ya Kikwete. Maisha ni mafupi sana

Pre GE2025 Ummy Mwalimu (Odo) wa sasa si wa miaka ya Kikwete. Maisha ni mafupi sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi pesa wanapelekaga wapi hawa. Miaka yote hio yupo bungeni bado ananyenyekea watu daah
1. Utumwa wa kiakili.
2. Ukizoea kunyonga,vya kuchinja huwezi.
Mazoea ya kupata mahela ya burebure yanamtoa akili.
3. Pesa zinavyokuwa nyingi ndio hamu ya kuzipata nyingi zaidi inaovyokuwa kubwa.
4. Pesa zinatumika kwa waganga, machawa, wapiga debe na harakati za kutaka kuonekana kwa ujumla.
 
Unachukiaje muono na upendeleo wa mtu mwingine!!??
Kweli tatizo la afya ya akili ni kubwa kuliko tunavyolichukulia.
Pole sana kwa tatizo hilo.
Ndicho nilichouliza hapo juu.....MAONI yanahusisha uhuru wa mavazi....
 
Ummy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo
Kampuni gani ya mabasi
 
Nimeamini msemo wa Vunja mifupa ungali meno iko.

Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote. Hadi Jokate anamshangaa

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baada ya kupigwa kofi?

Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.

View attachment 3254712
Sema ni lijizi na lipiga dili balaa.
 
Sio wa kumchukulia poa huyo kapiga B kadhaa ,hivi sasa anamiliki mabasi na Hotel kadhaa
Aah huyu mama ni mwizi aisee. Wizara ya afya alipiga sana madili. Huyu hafai kuwepo hata bungeni ni wa kwenda jela.
 
Mheshimiwa Ummy Mwalimu yupo vizuri sana na ni mtu mwema na muungwana .Mwenye huruma na upendo. Na mtu mwenye bidii ya kazi. Naamini siku moja atarejeshwa Barazani na Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa
Humfahamu wewe. Huyu mama ni binadamu haram! Mchekee uone kama hata hajakuua. Na mbaya zaidi ni mwizi wa mali ya umma. Kaiba tamisemi kaiba afya na anaiba wazi wazi wala haogopi.
 
Ummy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo
Kweli mabasi ya kwenda wap mkuuu unajua mambo sana mkuuu
 
Ndio cache umbea, January kasamehewa ila odo imekula kwako, labda utembee kwa magot kwenda ikulu
 
Ummy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo
Alikula hela za Wakorea ni mdada mmoja mwizi sana.
 
Back
Top Bottom