figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Anatafuta ugali huyo hana loloteNimeamini msemo wa Vunja mifupa unfali meno iko.
Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baadaya kupigwa kofi?
Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.
View attachment 3254712
hata mimi hupenda uvaaji wake, havai mahijabu na majuba ya kidiniMimi huwa napenda anavyovaa. Hana uhafidhina wa dini
Ni yupi huyo asiyevaa Hijab?hata mimi hupenda uvaaji wake, havai mahijabu na majuba ya kidini
Nimeamini msemo wa Vunja mifupa unfali meno iko.
Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baadaya kupigwa kofi?
Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.
View attachment 3254712
Ukiwa huna Hela Mwanamke akikupigia Goti wanasema ni Utumwa😀😀Nimeamini msemo wa Vunja mifupa unfali meno iko.
Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baadaya kupigwa kofi?
Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.
View attachment 3254712
Yaani unachukia ushungi!!.. Quran iko spot onMimi huwa napenda anavyovaa. Hana uhafidhina wa dini
Mkuu hayo nani kakuuliza?Sio wa kumchukulia poa huyo kapiga B kadhaa ,hivi sasa anamiliki mabasi na Hotel kadhaa
Wenye njaa kazi yenu ni kutaka wengine wasile,kuna kazi nyingi,fanya,kama unaona ni rahisi kuwa mbunge zaidi ya mara mbili jaribuUbunge iwe mwisho miaka miwili kama urais, yaan itafaa rais mpya na wabunge wapya. Uchawa utapungua