gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Wewe mwenye maslahi na taifa kagombee ubungeHuyo kama kufanikiwa tayari kesha fanikiwa, apishe na wengine wanufaike na wale keki ya taifa
kwa taarifa yako watu kama hao hawana maslahi ya utaifa, ni wapigaji na wapo bungeni kwa maslahi yao
sina njaa kama wewe chawa wa ummy
Kumbe! Ndio maana amefutwa uwaziriSio wa kumchukulia poa huyo kapiga B kadhaa ,hivi sasa anamiliki mabasi na Hotel kadhaa
Anatupa taarifa, acha ujingaMkuu hayo nani kakuuliza?
Kwa. Moment hii ww ni mkristo identity yenu ni kuoenda waislam wasiojielewa ili muwavute kwenye upotevuMimi huwa napenda anavyovaa. Hana uhafidhina wa dini
Mimi huwa napenda anavyovaa. Hana uhafidhina wa dini
Kwa. Moment hii ww ni mkristoMimi huwa napenda anavyovaa. Hana uhafidhina wa dini
Nanmm nimemshamjibuWaislamu poa kama hao ndiyo mnavutiwa nao na hatushangai maana tumeshapewa tahadhari mapema juu yenu makafiri na mayahudi kwamba hamtokuwa radhi hadi tufuate mila zenu.
Ukafiri unapromote dhambiMimi huwa napenda anavyovaa. Hana uhafidhina wa dini
Wazo zuri sana kwa nini miaka yote jimbo liongozwe na mtu mmoja tu mpaka mtu anazeekea bungeni kama wakina Wasira.Ubunge iwe mwisho Awamu mbili za miaka 5 mitano, kama urais, yaan itafaa rais mpya na wabunge wapya wanakuwa wengi wapya na mawazo mapya
Uchawa utapungua
Ameshajipata huyo hana njaa tenaUmmy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo
Dah,Ummy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo
Mkuu iyo raba sio ya mtumba , pili uliza ujibiwe ,tz hii hakuna ambae amekuwa waziri na hayuko vizuri, uyu mama kwa Dodoma tu anazo apartment za maana, akibisha aje nitamwambia ziko wapi mpaka mafundi waliotumika eneo husika.Nimeamini msemo wa Vunja mifupa ungali meno iko.
Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote. Hadi Jokate anamshangaa
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baadaya kupigwa kofi?
Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.
View attachment 3254712
Atavaa nusu uchi kabisa ili awafurahishe.......kwenye dini yetu ukristo mwanamke kuvaa nusu uchi tunasema ni sawa,yesu eti aangalii mavazi!hata mimi hupenda uvaaji wake, havai mahijabu na majuba ya kidini
Siyo kweli,Hivi kwann sisi wakristo tunawachukia wanawake wa kiislamu wanaovaa mavazi ya stara!!? wakivaa nusu uchi ndio furaha yetu ati!!!
kwani huyo odo anavaa nusu uchi? Acha udini utadumaa akiliAtavaa nusu uchi kabisa ili awafurahishe.......kwenye dini yetu ukristo mwanamke kuvaa nusu uchi tunasema ni sawa,yesu eti aangalii mavazi!
Hivi kwann sisi wakristo tunawachukia wanawake wa kiislamu wanaovaa mavazi ya stara!!? wakivaa nusu uchi ndio furaha yetu ati!!!
OkayKwa Hilo Sifahamu Asee
Dah,Lakini Huwaga Anazivuruga Sana Homoni Zangu Za Mahaba Nikimuonaga
Wajanja sasa ivi wananyenyekea kwa ajili ya vizazi vyao vijavyoHivi pesa wanapelekaga wapi hawa. Miaka yote hio yupo bungeni bado ananyenyekea watu daah