Pre GE2025 Ummy Mwalimu (Odo) wa sasa si wa miaka ya Kikwete. Maisha ni mafupi sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna demu mmoja wa Lushoto nilikuwa na mahusiano naye 12 years ago..... Amefanana na Ummy Mwalimu doh!!!.....!!
Anyway hata Ummy ni fantasy naye.
kwa kweli ni pisi kali
 
Sioni shida. Ni utii wa kawaida
ii
 
Waislamu poa kama hao ndiyo mnavutiwa nao na hatushangai maana tumeshapewa tahadhari mapema juu yenu makafiri na mayahudi kwamba hamtokuwa radhi hadi tufuate mila zenu.
Ndivyo wakristo walivyo mkuu wanapenda waislamu poa poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…