residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
1. Utumwa wa kiakili.Hivi pesa wanapelekaga wapi hawa. Miaka yote hio yupo bungeni bado ananyenyekea watu daah
Unachukiaje muono na upendeleo wa mtu mwingine!!??Unachukiaje avaacho mtu mwingine ?!!!
Kweli UCHIZI na UKICHAA upo....
Ndicho nilichouliza hapo juu.....MAONI yanahusisha uhuru wa mavazi....Unachukiaje muono na upendeleo wa mtu mwingine!!??
Kweli tatizo la afya ya akili ni kubwa kuliko tunavyolichukulia.
Pole sana kwa tatizo hilo.
Kampuni gani ya mabasiUmmy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo
Sema ni lijizi na lipiga dili balaa.Nimeamini msemo wa Vunja mifupa ungali meno iko.
Huyu ni aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu. Adabu kama zote. Hadi Jokate anamshangaa
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Je anataka aongelewe kama Januari Makamba baada ya kupigwa kofi?
Nimependa kiatu chake😍. Zoom kabla ya kuandika chochote.
View attachment 3254712
Aah huyu mama ni mwizi aisee. Wizara ya afya alipiga sana madili. Huyu hafai kuwepo hata bungeni ni wa kwenda jela.Sio wa kumchukulia poa huyo kapiga B kadhaa ,hivi sasa anamiliki mabasi na Hotel kadhaa
Humfahamu wewe. Huyu mama ni binadamu haram! Mchekee uone kama hata hajakuua. Na mbaya zaidi ni mwizi wa mali ya umma. Kaiba tamisemi kaiba afya na anaiba wazi wazi wala haogopi.Mheshimiwa Ummy Mwalimu yupo vizuri sana na ni mtu mwema na muungwana .Mwenye huruma na upendo. Na mtu mwenye bidii ya kazi. Naamini siku moja atarejeshwa Barazani na Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa
Kweli mabasi ya kwenda wap mkuuu unajua mambo sana mkuuuUmmy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo
Alikula hela za Wakorea ni mdada mmoja mwizi sana.Ummy mwalimu ni tajiri sana.maana kumiliki kampuni za mabasi ya mikoani na kuanzisha mahospitali mikoa kadhaa na apartments karibu Nchi nzima siyo kitu kidogo