Nyinyi ndio mlimuita Magu shetani! Ni wakati wenu wa kuinywa sifongo sasaHuu upuuzi ukome mara Moja, naona Kila Kiongozi anakuja na tamko lake na huyu Ummy anajifanya ni kama VP wa Samia.
Huu mfumo unatumika nchi zipi?View attachment 2684415
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa ruhusa rasmi kwa Madaktari nchini walioajiriwa na serikali kufanya kazi Binafsi kwenye Hospitali za serikali baada ya muda wa kazi kuisha.
Waziri Ummy ametangaza uhamuzi huo leo Mkoani Simiyu, wakati akizungumza na watumishi wa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Simiyu katika ziara yake Mkoani humo.
Waziri Ummy amesema
"Tusiweke urasimu Daktari huyu baada ya saa kumi mruhusu afanye shughuli zake za Private hapa, atawaona mnakubaliana parcentage, Ocean Road nilifanya hivyo. Turuhusu hapa ni kuweka utaratibu tu, kuna Mgonjwa anataka aje wakati hakuna fujo.
Hata mimi kuna watu hawapendi kwenda hospitali za Serikali, mchukulie kama RC yupo busy aanze kupanga mafoleni, anataka akienda sehemu nimekuta chumba maalumu kimetengwa, kina makochi, kuna maji, kuna chai, kuna kahawa, kuna soda.
Daktari atamuita Muuguzi, Daktari atanisikiliza, Muuguzi atanichukua sampuli zangu kama nimeondoka ni kufanyiwa radiology tu lakini vitu vingine nitafanyiwa hapohapo."
Wataalamu wa Afya waonywa kupunguza Semina
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu Ummy Mwalimu amewataka Wataalamu wa Afya nchini kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi wa kutoa huduma bora za matibabu kwa Wananchi.
Waziri Ummy ameyasema hayo leo Julai 10, 2023 katika ziara yake Mkoani Simiyu wakati akiogea na Viongozi wa Mkoa huo chini ya Mkuu wa Mkoa Dkt. Yahaya Nawanda.
“Wataalamu wa Afya punguzeni semina maana mmekuwa na semina nyingi hadi kupelekea Wagonjwa kukosa huduma kwa wakati na kumekuwa na msomgamano mkubwa katika vituo vya kutolea huduma za afya sababu ya semina”
Waziri Ummy pia amesema katika utolewaji wa huduma za afya nchini hakuna kilichosimama kwakuwa Serikali imejenga majengo ya Hospitali, imetoa dawa na vifaa tiba, hivyo ni jukumu la Wataalamu wa Afya ni kutoa huduma bora patika vituo hivyo.
“Tunamshukuru sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia kila kitu katika Sekta ya Afya ikiwemo majengo, vifaa tiba, kuajiri Wataalamu na sasa ni jukumu letu Wataalau kutoa huduma bora kwa Wananchi kwani ndio dhamira ya Serikali”
Kwaza sijui anakuwavipi Waziri wa Afya na hana elimu hio na hapa ndio shida inapo anziaHalafu Kuna watu huwa wanamuona Ummy kama mtu smart kichwani.Hakuna zezeta kama yule
Na twisheni iwe ruksa kwenye madarasa ya shule za serikali..!!Ni mwendo wa kubinafsisha kila kitu, waziri wa Elimu nae atoe maagizo haya kwa walimu.
Sifongo unajua maana yake au mwalimu kilaza wa sunday skuli alikufundisha ni kinywaji?Nyinyi ndio mlimuita Magu shetani! Ni wakati wenu wa kuinywa sifongo sasa
Yaani kila kitu lazima aulize kwenye WIZARA maana hajui chochote.Hana uwezo wa kutoa maamuzi mwenyewe.Tuna kesi ya miaka 10 ameshindwa kuamuaKwaza sijui anakuwavipi Waziri wa Afya na hana elimu hio na hapa ndio shida inapo anzia
Nchi haina mwenyewe tenaNi mwendo wa kubinafsisha kila kitu, waziri wa Elimu nae atoe maagizo haya kwa walimu.
Yaani Ummy sijui ana dawa gani? kwenye hii wizara hakuna cha maana anafanya lakini Ma-Rais wote wanampenda
Yaani ni uamzi wa kijinga kabisaHao madaktari watakuwa wanatumia vifaa vaya Nani Kwa KAZI yao private?
Au watakuwa Wanakuja na vya kwao
Yaani ni maamzi ya kijinga snUwwwwiiii.....🙆♂️
Tumekwisha.....😭
Yaani ameamua kuwapa rungu kabisa...... ili waanze kufanya ucheleweshaji wa makusudi ili wajipatie kipato cha lazima baada ya muda wa kazi....🤔
Huyu yupo Sawa kichwani kweli? Yaani kazi binafsi zifanyikie kwenye hospitali ya umma. Hii imekaaje. Hizo dawa na vifaa tiba nani anawajibika?View attachment 2684415
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa ruhusa rasmi kwa Madaktari nchini walioajiriwa na serikali kufanya kazi Binafsi kwenye Hospitali za serikali baada ya muda wa kazi kuisha.
Waziri Ummy ametangaza uhamuzi huo leo Mkoani Simiyu, wakati akizungumza na watumishi wa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Simiyu katika ziara yake Mkoani humo.
Waziri Ummy amesema
"Tusiweke urasimu Daktari huyu baada ya saa kumi mruhusu afanye shughuli zake za Private hapa, atawaona mnakubaliana parcentage, Ocean Road nilifanya hivyo. Turuhusu hapa ni kuweka utaratibu tu, kuna Mgonjwa anataka aje wakati hakuna fujo.
Hata mimi kuna watu hawapendi kwenda hospitali za Serikali, mchukulie kama RC yupo busy aanze kupanga mafoleni, anataka akienda sehemu nimekuta chumba maalumu kimetengwa, kina makochi, kuna maji, kuna chai, kuna kahawa, kuna soda.
Daktari atamuita Muuguzi, Daktari atanisikiliza, Muuguzi atanichukua sampuli zangu kama nimeondoka ni kufanyiwa radiology tu lakini vitu vingine nitafanyiwa hapohapo."
Wataalamu wa Afya waonywa kupunguza Semina
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu Ummy Mwalimu amewataka Wataalamu wa Afya nchini kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi wa kutoa huduma bora za matibabu kwa Wananchi.
Waziri Ummy ameyasema hayo leo Julai 10, 2023 katika ziara yake Mkoani Simiyu wakati akiogea na Viongozi wa Mkoa huo chini ya Mkuu wa Mkoa Dkt. Yahaya Nawanda.
“Wataalamu wa Afya punguzeni semina maana mmekuwa na semina nyingi hadi kupelekea Wagonjwa kukosa huduma kwa wakati na kumekuwa na msomgamano mkubwa katika vituo vya kutolea huduma za afya sababu ya semina”
Waziri Ummy pia amesema katika utolewaji wa huduma za afya nchini hakuna kilichosimama kwakuwa Serikali imejenga majengo ya Hospitali, imetoa dawa na vifaa tiba, hivyo ni jukumu la Wataalamu wa Afya ni kutoa huduma bora patika vituo hivyo.
“Tunamshukuru sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia kila kitu katika Sekta ya Afya ikiwemo majengo, vifaa tiba, kuajiri Wataalamu na sasa ni jukumu letu Wataalau kutoa huduma bora kwa Wananchi kwani ndio dhamira ya Serikali”
Unapigwa mwingi mpaka Mayelle ana Kaa chini!!!Jamani, jamani, jamani mwambieni Ummy abatilishe uamuzi huo.
Kweli aisee baada ya muda wa kazi wafanyakazi wapige dili tu.Hakuna siku mafuta na maji yaliwahi kuchanganyikana...🤨
Na sio siku nyingi serikali itakuja kujutia uamuzi wake huu...😏
Au kama vipi, Kila mtumishi atumie ofisi ya serikali kujiongezea kipato baada ya muda wa kazi uliopangwa kuisha...😊