Ummy Mwalimu: Ruksa Madaktari kutumia hospitali za Serikali kama private clinic baada ya muda wa kazi

"Mgonjwa nakuomba uje kwa ajili ya huduma za binafsi jioni-Daktari
"Kaka we njoo jioni nitakuwa natoa huduma binafsi nitakuwa na muda mzuri"

Tutegemee kauli kama hizi[emoji3]

Kama ambavyo shule zinawabakiza wanafunzi likizo ndivyo wagonjwa nao wanaenda kubakizwa kwa ajili ya huduma binafsi

Hii ndio Tanganyika,sijui inaongozwa na mtu au ipo autopilot
 
Huu mfumo unatumika nchi zipi?
 
Mi sioni ubaya kwanza mama hapo ndo kaupiga mwingiiii sana asante mama samia

Kazi iendelee
Hakika wewe ni zaid ya malaika mama
Huna baya
Wewe upewe dunia kusimamia mama
Utaweza
Dp world uwe mkurugenzi wao nahakika hawakuwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu yupo Sawa kichwani kweli? Yaani kazi binafsi zifanyikie kwenye hospitali ya umma. Hii imekaaje. Hizo dawa na vifaa tiba nani anawajibika?
Amekosea mno, ni heri wafanye hizo kazi nje ya hospitals za umma. Hapa anaua huduma za kiafya kwa hospitals za umma
 
Kweli aisee baada ya muda wa kazi wafanyakazi wapige dili tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…