Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Hapana kama ni hivyo tutajua kirahisi tu walio nyuma ya hicho chama watajitokeza baada ya huu mwaka ,ubaya wa ccm hupo zaidi kwa kikundi cha team msoga ni kama familia 100 hivi .Nilichokiona hii Umoja Party ni chama cha team Msoga na Bi Tozo kuharibu upepo wa pro Magu... kwa jinsi tulivyo mapoyoyo tunaingoa mkenge..