econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Alafu hii ajenda ya Sukuma gang wenzenu wanaipenda maana inawapa kibali kanda ambayo bila wao huwezi kushinda uchaguzi. Fanya huo utani makabila mengine sio huko.
Ndio maana akina Msukuma ni asset sababu ya ushawishi wao kule! Kule kukiwaka moto ni hatari ambayo CCM hawatamani hata kuiota!
Mnataka kulazimisha ukabila Kama Kenya?. Hata hao wenyewe hayo mawazo hawana mnawalazimisha. Halafu huu uwongo unaenea kwa Kasi. Ninachojua kwa takwimu za uchaguzi wa 2020, chama kilichoungwa mkono Sana Kanda ya ziwa Ni CHADEMA.
Hata matokeo ya ubunge Geita mjini makao makuu ya mkoa ambapo Magufuli anatokea, waliachana kidogo sana mpaka watu wakashangaa. Njoo mwanza Mjini, njoo Musoma, bukoba Mjini, Tarime etc. Kumbuka pamoja na kuutangaza usukuma wa Magufuli mwaka 2015, lakini Magufuli aliambulia asilimia 57 ya kura. Tanzania hakuna ukabila, msitulazimishe Mambo tusiyoyajua.