Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
CCM imwogope nani mpaka ifanye hivyo maana hilo li chama lenu la kaskazini lilikufa mwaka 2015 wakati mwenyekiti wenu alipobadili gia angani
Dhalimu asingeiba kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM imwogope nani mpaka ifanye hivyo maana hilo li chama lenu la kaskazini lilikufa mwaka 2015 wakati mwenyekiti wenu alipobadili gia angani
Nimemis sana hotuba za Rais zenye nguvu na mvuto na ushawishi kama za Hayati Magafuli .Kama ukiwa asset watu watakutumia tu kufikia ndoto zao na watajaribu kuishi kama wewe, unafikiri ni kwa nini PLO Lumumba alihubiri Magulification of Africa, je alikuwa anamaanisha nini?
Hiki chama kinaweza kuwa chama kizuri kama kitakuwa kinaeneza sera na sio chuki, watu wamemis sana kusikia hoja zenye nguvu.
Plan B will workMsajili ashawapiga nyundo ndogo tayari
Ova
magu ndo nani kwenye iko chamaKama ni Magu 100%, nipo pamoja nao!
Alisema amestaafu siasaHiki chama inabidi Dr. Slaa awe moja ya viongozi wakuu kabisa.
Waganga njaaView attachment 2192755View attachment 2192756View attachment 2192758
Naona Nembo mojawapo ya Chama ni picha ya JPM 😀😀😀😀
Anaweza kurudi muda muda wowote akiona kuna chama kina sera anazoziamini.Alisema amestaafu siasa
Yap ! Huo usajili utalipa SanaHiki chama inabidi Dr. Slaa awe moja ya viongozi wakuu kabisa.
Kawaambiaje?Msajili ashawapiga nyundo ndogo tayari
Ova
Potelea pote, tunahitaji kuwaonesha ccm kwamba, nchi siyo ya ukooHiki chama kilikuwa kianzishwe na system toka enzi za Magufuli, ila upepo haukukaa sawa. Lengo la chama hiki ni kuipa ccm ahueni wakati wa uchaguzi. Mpango ilikuwa kujitokeze wanaccm watakaojifanya wana mgogoro ndani nya ccm, kisha wavute watu, ila kifanye upinzani unaotakiwa na ccm. Naona sasa hawa sukuma gang ndio wamekabidhiwa huu usanii wa kuanzisha hicho chama. Ila hizi ni mbinu za kizee ile mbaya.
Cc: Msemaji ukweli
Tunasubiri kadi kwa hamuUmoja party a.k.a. sukuma gang
Mtateseka sana, ila hatuwezi kufanya tena makosa kwani miaka 6 ilikuwa kama miaka 100 tambueni hilo!
Slaa yule mliyesema ameiba mke wa mtu hapo 2010 hadi mkamtegea vinyasa sauti hotelini mwanza?Hiki chama inabidi Dr. Slaa awe moja ya viongozi wakuu kabisa.
Tunapinga nje ndani ...yaani ccm tupo na upinzani tupo usidhani watatoka wote ccm ili kujiunga umoja part ...wengine wanabakishwa ndani ya ccm kuendeleza mapambano dhidi ya WAHUNI hii ni vita baina ya WAHUNI NA WAZALENDOUnafikiri watafika mbali?
Chadema nani wa kuungana nayo? Chadema ni ADUI WA UZALENDODuh, hii Safi Sana. Baadae wanaungana na chadema, halafu CCM ya Samia chali.
Hii nimeipenda Sana, najua kushinda hawawezi, Ila wakishamiri CCM itabidi 2025 wa rethink watuletee Chuma Kama mzee baba mwenda zake.
Huyu ndio Baba wa falfasa hatuwezi ona aibu kuihubiriHivi hawawezi kuwa wafuasi wa magufuli bila hizo picha ?
Ni kweli, ila ni kwa ushawishi gani mlionao?Potelea pote, tunahitaji kuwaonesha ccm kwamba, nchi siyo ya ukoo
Kazi gani ulioiona ya Magufuli ambayo haikuwahi kufanywa au haifanyiki baada take?Ni kweli mkuu mimi niliona kazi zake tu