Umoja Party ni chama chenye mlengo upi, kinaamini katika maendeleo au katika Magufuli?

Umoja Party ni chama chenye mlengo upi, kinaamini katika maendeleo au katika Magufuli?

Maombi yangu kwa Mungu ni kuona chama kipya kinaibuka ndani ya CCM .
 
Kama ukiwa asset watu watakutumia tu kufikia ndoto zao na watajaribu kuishi kama wewe, unafikiri ni kwa nini PLO Lumumba alihubiri Magulification of Africa, je alikuwa anamaanisha nini?

Hiki chama kinaweza kuwa chama kizuri kama kitakuwa kinaeneza sera na sio chuki, watu wamemis sana kusikia hoja zenye nguvu.
Nimemis sana hotuba za Rais zenye nguvu na mvuto na ushawishi kama za Hayati Magafuli .
 
Hiki chama kilikuwa kianzishwe na system toka enzi za Magufuli, ila upepo haukukaa sawa. Lengo la chama hiki ni kuipa ccm ahueni wakati wa uchaguzi. Mpango ilikuwa kujitokeze wanaccm watakaojifanya wana mgogoro ndani nya ccm, kisha wavute watu, ila kifanye upinzani unaotakiwa na ccm. Naona sasa hawa sukuma gang ndio wamekabidhiwa huu usanii wa kuanzisha hicho chama. Ila hizi ni mbinu za kizee ile mbaya.

Cc: Msemaji ukweli
Potelea pote, tunahitaji kuwaonesha ccm kwamba, nchi siyo ya ukoo
 
Hiki chama inabidi Dr. Slaa awe moja ya viongozi wakuu kabisa.
Slaa yule mliyesema ameiba mke wa mtu hapo 2010 hadi mkamtegea vinyasa sauti hotelini mwanza?
Kweli ukiwa ccm unakuwa mwehu? Yule mke wa mtu alimrudisha vile??
 
Unafikiri watafika mbali?
Tunapinga nje ndani ...yaani ccm tupo na upinzani tupo usidhani watatoka wote ccm ili kujiunga umoja part ...wengine wanabakishwa ndani ya ccm kuendeleza mapambano dhidi ya WAHUNI hii ni vita baina ya WAHUNI NA WAZALENDO
 
Duh, hii Safi Sana. Baadae wanaungana na chadema, halafu CCM ya Samia chali.

Hii nimeipenda Sana, najua kushinda hawawezi, Ila wakishamiri CCM itabidi 2025 wa rethink watuletee Chuma Kama mzee baba mwenda zake.
Chadema nani wa kuungana nayo? Chadema ni ADUI WA UZALENDO
 
Opportunist. Ingawa kuanzisha chama ni rahisi, ila kukifanya kiwe pendwa mioyoni mwa watu ndio ugumu wake.
 
Back
Top Bottom