Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kosa kubwa saana la kimkakati
Utafikiri mtoto anaringishiwa pipi [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa kubwa saana la kimkakati
Labda wako nyuma yaoSijaona wa kutoa hoja zenye nguvu hapo
Kama ukiwa asset watu watakutumia tu kufikia ndoto zao na watajaribu kuishi kama wewe, unafikiri ni kwa nini PLO Lumumba alihubiri Magulification of Africa, je alikuwa anamaanisha nini?
Hiki chama kinaweza kuwa chama kizuri kama kitakuwa kinaeneza sera na sio chuki, watu wamemis sana kusikia hoja zenye nguvu.
Hivi kuna kiongozi mdini, mkabila, muuaji, mwizi na muongo zaidi ya Jiwe? Mama ushahidi upo wazi kabisaProbably itakuwa kitu vizuri CCM, ACT, Chadema wakaungana pamoja wanakubaliana na kuunganishwa na mambo mengi kikubwa kinachowaunganisha, sera yao kubwa ni Anti- Magufuli, chuki kwa kanda flani, kuangalia nyuma awamu ya tano na kutukana na kubeza kila kitu kilichofanywa wakati huo mazuri na mabaya.
Watanzania wote waliobaki ni vizuri wakaungana pamoja waanzishe chama kipya kitakachosimamia maslahi mapana ya Watanzania wote, kuangalia mbele, bila kuendekeza ukabila, udini, ukanda, matabaka, matusi, kejeli, mipasho.
Tanzania tuwe na vyama viwili tu imara.
Kwanini wajifiche sasa.. Seriously hapatatokea sana sana watatokea wa kuimba ngonjera za mwanakwendaLabda wako nyuma yao
Hivi watu huwa mnawaza nini! Yaani unamtaka mtu kama yule tena?Duh, hii Safi Sana. Baadae wanaungana na chadema, halafu CCM ya Samia chali.
Hii nimeipenda Sana, najua kushinda hawawezi, Ila wakishamiri CCM itabidi 2025 wa rethink watuletee Chuma Kama mzee baba mwenda zake.
Watafunaji ndo wamejigeuza ngozi. Subiri majina yatoke. 90% watakuwa Sukuma gang.Hawa wanaweza kuwa wakombozi wa Tanzania kutoka kwa hawa wanaoitafuna nchi
Muda haudanganyi. Itafahamika tu. Kinachonipa WASIWASI ni kuwa, wanaomtukana uncle M, hawana chembe ya utani usoni.Hiki chama kilikuwa kianzishwe na system toka enzi za Magufuli, ila upepo haukukaa sawa. Lengo la chama hiki ni kuipa ccm ahueni wakati wa uchaguzi. Mpango ilikuwa kujitokeze wanaccm watakaojifanya wana mgogoro ndani nya ccm, kisha wavute watu, ila kifanye upinzani unaotakiwa na ccm. Naona sasa hawa sukuma gang ndio wamekabidhiwa huu usanii wa kuanzisha hicho chama. Ila hizi ni mbinu za kizee ile mbaya.
Cc: Msemaji ukweli
CCM imwogope nani mpaka ifanye hivyo maana hilo li chama lenu la kaskazini lilikufa mwaka 2015 wakati mwenyekiti wenu alipobadili gia anganiHiki chama kilikuwa kianzishwe na system toka enzi za Magufuli, ila upepo haukukaa sawa. Lengo la chama hiki ni kuipa ccm ahueni wakati wa uchaguzi. Mpango ilikuwa kujitokeze wanaccm watakaojifanya wana mgogoro ndani nya ccm, kisha wavute watu, ila kifanye upinzani unaotakiwa na ccm. Naona sasa hawa sukuma gang ndio wamekabidhiwa huu usanii wa kuanzisha hicho chama. Ila hizi ni mbinu za kizee ile mbaya.
Cc: Msemaji ukweli
Na miliokufa huko Moshi kama nzige mkimuabudu Mwamposya mlikuwa wasukuma ? Si hao hao wenye meno ya kutu kama kashata.Kawaida yenu kuabudu binadamu Kama Mungu
Tumeona kwa Zumaridi hajuwashangai! Mmejaa upuuzi na ushamba tu kichwani mwenu
CCM kimekuwa mchumia belly aka tumbo kinara na kwa hili kimeungana kabisa na chadema zitto nae akipiga gitaa matakoni kwa chama mboga. Leteni sera kabla ya 2025 dadeki tuwakomeshe
Hata ukiacha sawa tu, sasa hivi kina mamilioni ya wanachama. Subiri muda utaongea.Kama kinajihusisha na mawazo machafu ya jiwe basi hakinifai
Wakijitofautisha na jiwe naweza kuwasikiliza hata kwa dakika moja.
Walishindwa kina Samuel Sitta na CCJ ndo sembuse hizi takataka zinazoanzisha chama cha kikabila?Kwanini bado ni siri kina nani waliwasilisha maombi
Chama cha siasa ni nini?
Kwa mujibu wa kifungu cha 3 cha Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 1992, Chama cha siasa ni kundi wa watu wenye lengo la kuunda Serikali kupitia uchaguzi halali.
2. Je kuna hatua ngapi katika kusajili chama?
3. Je ni nini kinahitajika ili kupata usajili wa muda?
• Wanzilishi wawili watawasilisha maombi ya usajili wa muda kwa kujaza fomu maalumu wakiambatanisha na katiba na kanuni za chama kitarajiwa. • Chama tarajiwa kinatakiwa kutoa uhuru wa mtanzania yoyote kuweza kujiunga bila kuwa na ubaguzi wowote wa kijinsia,kidini, kiitikadi n.k • Kulipa ada ya maombi ya usajili ya shilingi 25,000. • Usajili wa muda utadumu kwa muda wa siku 180, ndani ya muda huo, chama kitatakiwa kutafuta wanachama wasiopungua 2000 ( 200 kwa kila mkoa) katika mikoa 10, mikoa miwili kati ya hiyo ni lazima iwe Tanzania Zanzibar na mkoa mmoja kati ya hiyo miwili, uwe Pemba. • Kutimiza masharti ya usajili wa muda yaliyopo kwenye sheria
Source : ORPP Website
Watu wengi ambao walikuwa sana wanaunga mkono upuuzi wa bwana yule ni watu wajinga wajinga, wenye roho mbaya, mtu yeyote mwenye akili timamu alikuwa anaweza kung'amua ujinga na uongo ule. Leo wanalalamika ripoti ya CAG, tujiulize kwanini CAG Assad alifukuzwa kazi na taarifa zilikuwa zinafanywa siri? Kwa akili ndogo tu unaona ni kwakuwa, kulikuwa na ufisadi unafichwa.Hivi watu huwa mnawaza nini! Yaani unamtaka mtu kama yule tena?
Umoja Party ni mbadala wa CUF ya lipumba na TLP ya lyatonga. CCM wamechungulia na kuona mawakala wao hawa wakongwe wameshachokwa na wananchi na uwakala wao umekua dhahiri. Wameamua kujipanga kivingine. Kidumu chama chetu.... sema picha ya marehemu! Mamluki wakubwa.