Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Ofisi yao ndogo ipo Kigali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofisi yao ndogo ipo Kigali
Ndiyo njia tuitakayo atiiiMataahira yanataka kutembelea nyota ya dhalim aliyoko motoni sasa haiwezi kuwapa kiki yoyote sana sana wanajidhirisha kuwa hawana jipya lolote
Kamfukueni mumuweke magogoniHuyo ndiyo anatakiwa na wananchi isipokuwa wewe na wenzako
Hiki chama inabidi Dr. Slaa awe moja ya viongozi wakuu kabisa.
View attachment 2192755View attachment 2192756View attachment 2192758
Naona Nembo mojawapo ya Chama ni picha ya JPM [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuna watu wajinga kama Sukuma gang.Huyo ndiyo anatakiwa na wananchi isipokuwa wewe na wenzako
Kawaida yenu kuabudu binadamu Kama MunguHiyo siyo nembo ya chama changa akili
Kosa kubwa saana la kimkakatiView attachment 2192755View attachment 2192756View attachment 2192758
Naona Nembo mojawapo ya Chama ni picha ya JPM [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mboga hukuropoka huu utumbo wako mapema kabla ya Magufuli kufariki ili tujue? TO HELLHiki chama kilikuwa kianzishwe na system toka enzi za Magufuli, ila upepo haukukaa sawa. Lengo la chama hiki ni kuipa ccm ahueni wakati wa uchaguzi. Mpango ilikuwa kujitokeze wanaccm watakaojifanya wana mgogoro ndani nya ccm, kisha wavute watu, ila kifanye upinzani unaotakiwa na ccm. Naona sasa hawa sukuma gang ndio wamekabidhiwa huu usanii wa kuanzisha hicho chama. Ila hizi ni mbinu za kizee ile mbaya.
Cc: Msemaji ukweli
Unashangaa sukuma gang kuabudu binadamu wenzao kama Mungu?Kosa kubwa saana la kimkakati
Ofisi yao ndogo ipo Kigali
😀😀Ipo siku tutakameza kama crimea
[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji15]Ofisi yao ndogo ipo Kigali
Sijaona wa kutoa hoja zenye nguvu hapoKama ukiwa asset watu watakutumia tu kufikia ndoto zao na watajaribu kuishi kama wewe, unafikiri ni kwa nini PLO Lumumba alihubiri Magulification of Africa, je alikuwa anamaanisha nini?
Hiki chama kinaweza kuwa chama kizuri kama kitakuwa kinaeneza sera na sio chuki, watu wamemis sana kusikia hoja zenye nguvu.
Si ndio ina masilahi kwenu, inabidi ufurahi siyo kushangaa.Nimecheka kwa nguvu, huyo zama damu ndio tegemeo! Yaani karne ya 21 mnaleta kiongozi aliye 70+?!