dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... sema picha ya marehemu! Mamluki wakubwa.Naona Nembo mojawapo ya Chama ni picha ya JPM ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... sema picha ya marehemu! Mamluki wakubwa.Naona Nembo mojawapo ya Chama ni picha ya JPM ππππ
Jiwe leo amekuwa mbaya kwako?Wanatoa wapi kadi?
Sema nembo yao mbaya.
Sukuma GangKama ukiwa asset watu watakutumia tu kufikia ndoto zao na watajaribu kuishi kama wewe, unafikiri ni kwa nini PLO Lumumba alihubiri Magulification of Africa, je alikuwa anamaanisha nini?
Hiki chama kinaweza kuwa chama kizuri kama kitakuwa kinaeneza sera na sio chuki, watu wamemis sana kusikia hoja zenye nguvu.
Mbali wapi? Labda watafika ChatoWakihubiri kile wananchi wanataka kusikia watafika mbali.
Chadema hatuungani na wauaji na wanafiki MatagaDuh, hii Safi Sana. Baadae wanaungana na chadema, halafu CCM ya Samia chali.
Hii nimeipenda Sana, najua kushinda hawawezi, Ila wakishamiri CCM itabidi 2025 wa rethink watuletee Chuma Kama mzee baba mwenda zake.
CCM kimekuwa mchumia belly aka tumbo kinara na kwa hili kimeungana kabisa na Chadema Zitto nae akipiga gitaa matakoni kwa chama mboga. Leteni sera kabla ya 2025 dadeki tuwakomesheTunahitaji vyama zaidi mbadala ili tuwe na chaguo sahihi.
Tumechoka na wachumiatumbo waliopo.
Hakumjua vizuri Magufuli tu hakuna cha ziada.unafikiri ni kwa nini PLO Lumumba alihubiri Magulification of Africa, je alikuwa anamaanisha nini?
Mkuu wakiungana watabaki na wababe humu JF na mafisadi ambayo yote yanajulikana kiufupi wataangukia pua matako juuProbably itakuwa kitu vizuri CCM, ACT, Chadema wakaungana pamoja wanakubaliana na kuunganishwa na mambo mengi kikubwa kinachowaunganisha, sera yao kubwa ni Anti- Magufuli...
Mwenye kujua hiki chama anisaidie nipate kadi asee tafadhali wakuuuuu.ππππView attachment 2192755View attachment 2192756View attachment 2192758
Naona Nembo mojawapo ya Chama ni picha ya JPM ππππ
Huyo ndiyo anatakiwa na wananchi isipokuwa wewe na wenzakoWamebugi kumuweka mwendazake, Sio wananchi wote walikuwa wanamkubali hicho chama kitakuwa cha kikanda Muda utaongea
Hiki chama kilikuwa kianzishwe na system toka enzi za Magufuli, ila upepo haukukaa sawa. Lengo la chama hiki ni kuipa ccm ahueni wakati wa uchaguzi. Mpango ilikuwa kujitokeze wanaccm watakaojifanya wana mgogoro ndani nya ccm, kisha wavute watu, ila kifanye upinzani unaotakiwa na ccm. Naona sasa hawa sukuma gang ndio wamekabidhiwa huu usanii wa kuanzisha hicho chama. Ila hizi ni mbinu za kizee ile mbaya.Gawa kadi huku kitaani kwetu,
Hatuwelewi Chadema, ccm ndo kabisaa..!