RAIS Mwinyi ndo amebaki wa maana tu ndani ya chama mboga .kikuwa chama changu ila nimeshakitoa rohoni hata kingejuvua gamba la chuma .kikafie mbali
Watu wanamkubali Mwinyi kutokana na vitendo, kazi zake, utendaji wake. Anawajibika na kuwaajibisha wote kwenye serikali yake. Hana mipasho, ngojera, vijembe, visingizio. Ameiunganisha Zanzibae.Unaweza kuona Zenji inaeelekea wapi chini ya utawala wake.
Huku bara ni visingizio kibao "bei za kila kitu lazima zipande" anasema Rais wa JMT. Sababu anakwambia ni vita vya Ukraine- Urusi, Corona.
Upinzani hawahoji chochote wanataka maendeleo ya watu sio vitu, sera za ukanda, kila tatizo sababu ni Sukuma gangs, JPM, kiongozi wao mkuu baada ya kutoka jela haizunguzii tena.
Sera kuu ya CCM, upinzani ni kumkebehi JPM wanamuita mwendazake na majna mengine mengi ya kebehi sijaona yakitumika kwa kiongozi, mtu mwingine yoyote aliyekufa. Utamaduni wetu TZ tunawaita Hayati, Marehemu.
It will interesting and fun to watch kampeni za uchaguzi CCM na upinzani wa sasa wakiuza sera zao kwa wananchi
Wananchi wakiwauliza kwanini hatuna umeme, maji, tuna kodi, tozo za ajabu, mfumuko wa bei na wao wakijibu sababu ni mwendazake.
Kwanini miradi ya kimkakati inasuasua, tunakopa hovyo, wao wakijibu ni sababu ni mwendazake.
Kwanini masoko yanachomwa moto, ajali zinaongezeka, kwanini hamna sera zenu mpya kulisaidia Taifa, Wao (CCM , upinzani) wataijibu sababu ni mwendazake, Sukuma gang, Wasukuma.
Yoyote atakayehoji, au kutoa maoni mbadala ataambiwa wewe ni Sukuma Gang.