Umoja Party ni chama chenye mlengo upi, kinaamini katika maendeleo au katika Magufuli?

Umoja Party ni chama chenye mlengo upi, kinaamini katika maendeleo au katika Magufuli?

TOKA MAKTABA :
Kwa hisani ya benzemah wa JF
3 November 2021

Tetesi za JamiiForums
Naibu Msajili wa vyama vya siasa nchini, Sisy Nyahoza amethibitisha kuwapo kwa maombi ya usajili wa Chama hicho mezani kwake, na kwamba sheria ya vyama vya siasa inawataka kutangaza kwenye gazeti la Serikali na kutoa muda kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kupinga jina la chama kwa ofisi ya msajili. Baada ya mchakato huo kumalizika, hatua nyingine zitafuata kama sheria inavyoelekeza

Seif Maalim Seif si mgeni kwenye siasa za Tanzania, kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 Seif aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP).......

Source : NEC ONLINE TV - Tanzania


Soma zaidi kuhusu cha hiki cha UMOJA PARTY chenye makao yake makuu jijini Dar es Salaam:
Source:


1650371533145.png
 
Watu wengi ambao walikuwa sana wanaunga mkono upuuzi wa bwana yule ni watu wajinga wajinga, wenye roho mbaya, mtu yeyote mwenye akili timamu alikuwa anaweza kung'amua ujinga na uongo ule. Leo wanalalamika ripoti ya CAG, tujiulize kwanini CAG alifukuzwa kazi na taarifa zilikuwa zinafanywa siri? Kwa akili ndogo tu unaona ni kwakuwa kulikuwa na ufisadi unafichwa.
Wenye vyeti fake na wafanyakazi hewa ndio watu timamu? Huna hoja wewe.
 
RAIS Mwinyi ndo amebaki wa maana tu ndani ya chama mboga .kikuwa chama changu ila nimeshakitoa rohoni hata kingejuvua gamba la chuma .kikafie mbali

Watu wanamkubali Mwinyi kutokana na vitendo, kazi zake, utendaji wake. Anawajibika na kuwaajibisha wote kwenye serikali yake. Hana mipasho, ngojera, vijembe, visingizio. Ameiunganisha Zanzibae.Unaweza kuona Zenji inaeelekea wapi chini ya utawala wake.

Huku bara ni visingizio kibao "bei za kila kitu lazima zipande" anasema Rais wa JMT. Sababu anakwambia ni vita vya Ukraine- Urusi, Corona.

Upinzani hawahoji chochote wanataka maendeleo ya watu sio vitu, sera za ukanda, kila tatizo sababu ni Sukuma gangs, JPM, kiongozi wao mkuu baada ya kutoka jela haizunguzii tena.

Sera kuu ya CCM, upinzani ni kumkebehi JPM wanamuita mwendazake na majna mengine mengi ya kebehi sijaona yakitumika kwa kiongozi, mtu mwingine yoyote aliyekufa. Utamaduni wetu TZ tunawaita Hayati, Marehemu.

It will interesting and fun to watch kampeni za uchaguzi CCM na upinzani wa sasa wakiuza sera zao kwa wananchi

Wananchi wakiwauliza kwanini hatuna umeme, maji, tuna kodi, tozo za ajabu, mfumuko wa bei na wao wakijibu sababu ni mwendazake.

Kwanini miradi ya kimkakati inasuasua, tunakopa hovyo, wao wakijibu ni sababu ni mwendazake.

Kwanini masoko yanachomwa moto, ajali zinaongezeka, kwanini hamna sera zenu mpya kulisaidia Taifa, Wao (CCM , upinzani) wataijibu sababu ni mwendazake, Sukuma gang, Wasukuma.

Yoyote atakayehoji, au kutoa maoni mbadala ataambiwa wewe ni Sukuma Gang.
 
RAIS Mwinyi ndo amebaki wa maana tu ndani ya chama mboga .kikuwa chama changu ila nimeshakitoa rohoni hata kingejuvua gamba la chuma .kikafie mbali
Hakuna msafi ndani ya ccm..wamejaa mafisadi..na walaghai.

#MaendeleoHayanaChama
 
Watu wanamkubali Mwinyi kutokana na vitendo, kazi zake, utendaji wake. Anawajibika na kuwaajibisha wote kwenye serikali yake. Hana mipasho, ngojera, vijembe, visingizio. Ameiunganisha Zanzibae.Unaweza kuona Zenji inaeelekea wapi chini ya utawala wake.

Huku bara ni visingizio kibao "bei za kila kitu lazima zipande" anasema Rais wa JMT. Sababu anakwambia ni vita vya Ukraine- Urusi, Corona.

Upinzani hawahoji chochote wanataka maendeleo ya watu sio vitu, sera za ukanda, kila tatizo sababu ni Sukuma gangs, JPM, kiongozi wao mkuu baada ya kutoka jela haizunguzii tena.

Sera kuu ya CCM, upinzani ni kumkebehi JPM wanamuita mwendazake na majna mengine mengi ya kebehi sijaona yakitumika kwa kiongozi, mtu mwingine yoyote aliyekufa. Utamaduni wetu TZ tunawaita Hayati, Marehemu.

It will interesting and fun to watch kampeni za uchaguzi CCM na upinzani wa sasa wakiuza sera zao kwa wananchi

Wananchi wakiwauliza kwanini hatuna umeme, maji, tuna kodi, tozo za ajabu, mfumuko wa bei na wao wakijibu sababu ni mwendazake.

Kwanini miradi ya kimkakati inasuasua, tunakopa hovyo, wao wakijibu ni sababu ni mwendazake.

Kwanini masoko yanachomwa moto, ajali zinaongezeka, kwanini hamna sera zenu mpya kulisaidia Taifa, Wao (CCM , upinzani) wakijibu Sababu ni mwendazake, Sukuma gang, Wasukuma.
Una akili wewe kweli? Zenji unaweza ilinganisha na Bara? Nchi yenye watu wengi na nchi yenye watu wachache ni ipi athari za kiuchumi zinaanza kuonekana?
 
Kama ukiwa asset watu watakutumia tu kufikia ndoto zao na watajaribu kuishi kama wewe, unafikiri ni kwa nini PLO Lumumba alihubiri Magulification of Africa, je alikuwa anamaanisha nini?

Hiki chama kinaweza kuwa chama kizuri kama kitakuwa kinaeneza sera na sio chuki, watu wamemis sana kusikia hoja zenye nguvu.
Hoja za majigambo jigambo
 
Probably itakuwa kitu vizuri CCM, ACT, Chadema wakaungana pamoja wanakubaliana na kuunganishwa na mambo mengi kikubwa kinachowaunganisha, sera yao kubwa ni Anti- Magufuli, chuki kwa kanda flani, kuangalia nyuma awamu ya tano na kutukana na kubeza kila kitu kilichofanywa wakati huo mazuri na mabaya.

Watanzania wote waliobaki ni vizuri wakaungana pamoja waanzishe chama kipya kitakachosimamia maslahi mapana ya Watanzania wote bila kusahau maslahi ya Tanganyika, kuangalia mbele na kuiunganisha, bila kuendekeza ukabila, udini, ukanda, matabaka, matusi, kejeli, mipasho.

Tanzania tuwe na vyama viwili tu imara.
Acha kubwabwaja Dikteta lazima asemwe ili Tanzania tusije pata dikteta mwingine kama Magufuri.
 
Back
Top Bottom