Umoja Party ni chama chenye mlengo upi, kinaamini katika maendeleo au katika Magufuli?

Umoja Party ni chama chenye mlengo upi, kinaamini katika maendeleo au katika Magufuli?

Mimi nina tatizo na hako ka jina, kwani ni kafupi na kepesi mno.
watunge jina lingine linaloweza kubeba falsafa ya chama na kuleta hamasa kwa wananchi.
 
Naomba kadi kabisa, tumechoka na hawa washenzi, CCM na upinzani wameungana kuipora nchi.

Be serious basi, mbona mnapenda kuusema upinzani, halafu Kura mmewapa wengine. Bungeni Ni CCM , halmashauri Ni CCM na wenyeviti Ni ccm lakini bado mnaulaumu upinzani. Mmeichagua CCM ilalamikieni CCM sio kuwabebesha mzigo upinzani ambao hawapi kwenye vyombo vya maamuzi.
 
Hawa wanaweza kuwa wakombozi wa Tanzania kutoka kwa hawa wanaoitafuna nchi

haaaahaaa haha I'll watanzania kudanganywa nindakika moja. Kwanza muasisi mwenyewe hamumjui, Ni mzanzibar Tena alikuwa AFFP na Wala sio CCM .
 
Hawa wanaweza kuwa wakombozi wa Tanzania kutoka kwa hawa wanaoitafuna nchi

Duh! Aiseeeh. Yani CCM aikomboe nchi kutoka wapi? Maana ameitawala mwenyewe Mia zaidi ya 60. Ukombozi utatoka nje ya CCM hata kwa mapinduzi ya kijeshi.
 
Kama ukiwa asset watu watakutumia tu kufikia ndoto zao na watajaribu kuishi kama wewe, unafikiri ni kwa nini PLO Lumumba alihubiri Magulification of Africa, je alikuwa anamaanisha nini?

Hiki chama kinaweza kuwa chama kizuri kama kitakuwa kinaeneza sera na sio chuki, watu wamemis sana kusikia hoja zenye nguvu.

Wanakaribishwa uwanjani. Mpaka wafike level ya chadema Ni miaka ishirini ijayo. Maana Kuna stages lazima upite ili ukamate dola.
 
Keep on Going UP.

Ila kwenye hako kajina kako simple sana.

Mgeita Chama cha Kazi na Maendeleo - CKM.

Naomba kadi namba 10 iwe yangu.

Bado hawajasajiliwa, na inaweza kunyimwa usajili kwa kuanza harakati kabla ya kusajiliwa.
 
Probably itakuwa kitu vizuri CCM, ACT, Chadema wakaungana pamoja wanakubaliana na kuunganishwa na mambo mengi kikubwa kinachowaunganisha, sera yao kubwa ni Anti- Magufuli, chuki kwa kanda flani, kuangalia nyuma awamu ya tano na kutukana na kubeza kila kitu kilichofanywa wakati huo mazuri na mabaya.

Watanzania wote waliobaki ni vizuri wakaungana pamoja waanzishe chama kipya kitakachosimamia maslahi mapana ya Watanzania wote bila kusahau maslahi ya Tanganyika, kuangalia mbele na kuiunganisha, bila kuendekeza ukabila, udini, ukanda, matabaka, matusi, kejeli, mipasho.

Tanzania tuwe na vyama viwili tu imara.

Bila kuiweka chadema husikii raha. Mateso iliyopitia chadema chini ya Magufuli, mpaka akatangaza wazi wapinzani wamechelewesha maendeleo na kuzuia mikutano ya siasa na kuwalima risasi na kuwapoteza Viongozi wa Chadema.

Halafu unataka chadema wamsifie Magufuli kwa lipi, tuache unafiki. Alipambana na chadema kana kwamba sio raia wa nchi hii.
 
Be serious basi, mbona mnapenda kuusema upinzani, halafu Kura mmewapa wengine. Bungeni Ni CCM , halmashauri Ni CCM na wenyeviti Ni ccm lakini bado mnaulaumu upinzani. Mmeichagua CCM ilalamikieni CCM sio kuwabebesha mzigo upinzani ambao hawapi kwenye vyombo vya maamuzi.
Hoja mfu..UP Kiko n nguvu sana hasa kwa wakulima na wafugaji.

Subiri kianze..hadi watamtaja Alie muua Magufuli
 
Wakihubiri kile wananchi wanataka kusikia watafika mbali.

Kipi hicho? Magufuli alipinga KATIBA mpya, Uhuru wa maoni, uchaguzi huru na upendeleo wa eneo lake. Hivyo itatakiwa nao wapambane dhidi ya KATIBA mpya ili kuonesha kwamba Ni chama chenye falsafa ya Magufuli.
 
Umoja party a.k.a. sukuma gang
Mtateseka sana, ila hatuwezi kufanya tena makosa kwani miaka 6 ilikuwa kama miaka 100 tambueni hilo!
Alafu hii ajenda ya Sukuma gang wenzenu wanaipenda maana inawapa kibali kanda ambayo bila wao huwezi kushinda uchaguzi. Fanya huo utani makabila mengine sio huko.

Ndio maana akina Msukuma ni asset sababu ya ushawishi wao kule! Kule kukiwaka moto ni hatari ambayo CCM hawatamani hata kuiota!
 
Hoja mfu..UP Kiko n nguvu sana hasa kwa wakulima na wafugaji.

Subiri kianze..hadi watamtaja Alie muua Magufuli

Kina nguvu gani?. Hao wakulima na wafugaji umeongea nao lini?. Msiwe wepesi wa kufuata upepo bila kujua unaelekea wapi.
 
Back
Top Bottom