Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Umoja wa Mataifa umeonya kuwa watu milioni 18 katika eneo la Sahel barani Afrika wanakabiliwa na njaa kali katika miezi mitatu ijayo kutokana na athari za Vita kati ya Urusi na Ukraine, janga la COVID-19 na mabadiliko ya hali ya hewa
Inaelezwa kuwa idadi kubwa zaidi ya watu wako katika hatari ya njaa kali katika eneo lote tangu 2014, huku nchi za Burkina Faso, Chad, Mali na Niger zikishuhudia viwango vya kushtusha vya njaa ambapo karibu watu milioni 1.7 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula huko
Vile vile maeneo mengi ya Sahel, yamekabiliwa na uzalishaji duni zaidi wa kilimo kwa zaidi ya muongo mmoja.
=======
The United Nations is warning that 18 million people in Africa’s Sahel region face severe hunger in the next three months, citing the effects of Russia’s war in Ukraine, the coronavirus pandemic, climate-induced shocks and rising costs.
The hunger crisis may press increased numbers of people to migrate out of the affected areas, the Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA) said on Friday.
The largest number of people are at risk of severe hunger across the region since 2014, and four countries — Burkina Faso, Chad, Mali and Niger — are facing “alarming levels”, with nearly 1.7 million people facing emergency levels of food shortages there, according to the UN agency.
Parts of the Sahel region, a vast territory stretching across the south of the Sahara Desert, have faced their worst agricultural production in more than a decade. Food shortages could worsen as the lean season arrives in late summer, Tomson Phiri, spokesman for the UN’s World Food Programme, said.
“The situation is definitely going to get worse before it gets better,” he told reporters in Geneva. “We may see more people trying to make ends meet by migrating: It’s a very, very likely possibility.”
Many people from the region are among migrants who seek to travel north to Europe in hopes of economic opportunity, more stability and safety
Inaelezwa kuwa idadi kubwa zaidi ya watu wako katika hatari ya njaa kali katika eneo lote tangu 2014, huku nchi za Burkina Faso, Chad, Mali na Niger zikishuhudia viwango vya kushtusha vya njaa ambapo karibu watu milioni 1.7 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula huko
Vile vile maeneo mengi ya Sahel, yamekabiliwa na uzalishaji duni zaidi wa kilimo kwa zaidi ya muongo mmoja.
=======
The United Nations is warning that 18 million people in Africa’s Sahel region face severe hunger in the next three months, citing the effects of Russia’s war in Ukraine, the coronavirus pandemic, climate-induced shocks and rising costs.
The hunger crisis may press increased numbers of people to migrate out of the affected areas, the Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA) said on Friday.
The largest number of people are at risk of severe hunger across the region since 2014, and four countries — Burkina Faso, Chad, Mali and Niger — are facing “alarming levels”, with nearly 1.7 million people facing emergency levels of food shortages there, according to the UN agency.
Parts of the Sahel region, a vast territory stretching across the south of the Sahara Desert, have faced their worst agricultural production in more than a decade. Food shortages could worsen as the lean season arrives in late summer, Tomson Phiri, spokesman for the UN’s World Food Programme, said.
“The situation is definitely going to get worse before it gets better,” he told reporters in Geneva. “We may see more people trying to make ends meet by migrating: It’s a very, very likely possibility.”
Many people from the region are among migrants who seek to travel north to Europe in hopes of economic opportunity, more stability and safety