Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Akili fupi,
Kwa hiyo ukiambiwa hili jambo ni barabara. Utasema barabara ya magari?
Akili ndefu, wewe hujui kati ya "bara bara" na "barabara"???.
Akili fupi kama mkia wa kobe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili fupi,
Kwa hiyo ukiambiwa hili jambo ni barabara. Utasema barabara ya magari?
EU na WB zimetoa msaada kwa Tanzania kufadhili miradi mbalimbali ikiwemo njia ya umeme wa KV 400 kwenda mpaka wa Tanzania na Zambia. Hili ni pigo kwa viongozi wa upinzani hasa Chadema wakiongozwa na TUNDU kwa upuuzi waliokuwa wakiufanya kuzurura kuisingizia nchi mambo mabaya ili tu kuona nchi inakwama kupiga hatua za kimaendeleo. Sasa wataaibika na ndio mwanzo wa mwisho wa siasa zao za matukio na kupiga madili.
Nakazia kwa video hii hapa chini