Umoja wa Ulaya na wenyewe unajiandaa kupitia upya sera ya miasada wanayotoa

Tuwatoze kodi?
 
Njiti moja ya Kiberiti huweza kuunguza ekari milioni 20 Kwa sekunde.

Alianza Trump, sasa EU

Baadaye hadi China na Urusi watafanya hayo

Marehemu JPM aliwahi kusema, hatuna Mjomba Wala shangazi wa kutuletea fedha za Bure

Let's focus kujenga mazoea ya Kujitegemea
 
The man was ahead of time, hakueleweka!!
 
Mwafrika ni kiumbe mpumbavu sana.

Anategemea kufanikiwa kwa kupewa misaada tu.

Wakati wazungu wanahangaika kutafuta solutions za matatizo mbalimbali hapa duniani.

Miafrika ipo bize kwenye ngono na kuzaliana kama mapanya.

Kazi kubwa ya watu weusi ni kuongeza umaskini duniani kwa kuzaliana
 
Hii sera ni nzuri ili watu wafanye kazi, hii biashara ya misaada na kuitumia vibaya,iishe
Ubaya hii misaada inaishia kwenye mifuko ya watu wachache ndio maana bora wasilete tu, si unakumbuka magufuli aliweka ndani wale jamaa wa stanbic waliokuwa wanacheza na interest rates za mikopo ya serikali, hela nyingine zikawa wanakula wao, sasa watu wangapi wanakula hizo pesa hadi leo
 
Utakufa na hasira ww loh

Ushaona mizungu ikikasirika? Bado?

Kajitizame kwenye kioo ujione🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…