nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,937
- 2,678
Mashirika ya kimataifa hawakatwi pension, wanachukua mzigo wote, ukifukuzwa ule mshahara wako wa mwisho ndio huohuo, na kwa sababu ni ghafra wapo kwenye dhiki kubwa sana, heri wangejua angalau miezi sita kabla wangejiandaaN
Nakama ana diploma au digree ndo umwonee huruma kabisaa mana nssf hawatompa pesa yote watampa kwa mfumo wwa kikokotooo, tabu nyingne itampata
Kwanini mkuu...??Duuh .naona mifuko ya hifadhi ya jamii itakua bize sana mwaka huu.
Wanakata mkuu, labda unazungumzia wale International stafff,Mashirika ya kimataifa hawakatwi pension, wanachukua mzigo wote, ukifukuzwa ule mshahara wako wa mwisho ndio huohuo, na kwa sababu ni ghafra wapo kwenye dhiki kubwa sana, heri wangejua angalau miezi sita kabla wangejiandaa
Thank you and I'd be honored if would become my 1st recruit.You're genius 🤔🚮
33% kwa mwezi..%
Nashukuru kunielimisha mkuu nlikua sifaham 🙏Mashirika ya kimataifa hawakatwi pension, wanachukua mzigo wote, ukifukuzwa ule mshahara wako wa mwisho ndio huohuo, na kwa sababu ni ghafra wapo kwenye dhiki kubwa sana, heri wangejua angalau miezi sita kabla wangejiandaa
Nitakutafuta mkulungwawaje tulime vitunguu uku Gonja, maisha ndo hayahaya
Itatuumiza maana projects nyingi zilishaanza ila tutaelewana tu. Iko siku tutaongea lugha mojaUmoja wa Ulaya (EU) unatarajia kufanya mapitio ya mpango wake wa misaada ya kigeni ili kuendana na maslahi yake ya kisiasa huku ikikabiliwa na changamoto za bajeti, ongezeko la gharama za ulinzi, na tishio la ushuru kutoka Marekani, kulingana na ripoti ya Bloomberg.
Hatua hii inafuatia uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, kusitisha sehemu kubwa ya msaada wa kigeni wa Marekani akidai kuwepo kwa ufisadi na matumizi mabaya ya fedha ndani ya USAID. Sasa msaada huo unakaguliwa kwa miezi mitatu ili kuhakikisha unaendana na maslahi ya Marekani.
Kwa upande wa EU, Tume ya Ulaya (EC) inatafakari kubadilisha mkakati wa misaada yake ya nje, ikilenga kutumia misaada hiyo kuimarisha maslahi yake ya kimkakati, kujenga ushirikiano thabiti, na kuhakikisha upatikanaji wa malighafi muhimu, Bloomberg iliripoti.
EU ni mtoa msaada mkubwa zaidi duniani, ikiwa ilitumia karibu euro bilioni 96 mwaka 2023. Sehemu kubwa ya misaada hiyo imeelekezwa Kiev tangu mzozo wa Ukraine ulipoanza mwaka 2022, ambapo jumla ya msaada wa EU kwa Ukraine sasa unakaribia dola bilioni 145.
Hata hivyo, baadhi ya nchi wanachama kama Slovakia na Hungary zimeacha kutoa msaada wa kijeshi kwa Ukraine na zinataka misaada zaidi kuelekezwa kwenye masuala ya ndani.
=====================================
The decision follows US President Donald Trump's move to freeze most American foreign aid, citing corruption and uncontrolled spending within USAID - Washington's primary tool for funneling political funding abroad. The bulk of US assistance is currently under a three-month review to ensure it "aligns with American interests."
Amid concerns over its increasingly stretched budget and competing priorities such as the Ukraine conflict, the European Commission (EC) is also looking to restructure its external aid program, Bloomberg reported on Monday, citing an internal draft document.
The bloc aims to take a more transactional approach to aid, using it to "secure strategic interests," strengthen alliances, and ensure access to critical raw materials while maintaining its reputation as a "reliable partner," the newspaper wrote.
The EU is collectively the world's largest provider of foreign aid, spending nearly 96 billion ($99 billion) in 2023, according to an EC report from last year. A significant portion of this aid has been directed to Kiev since the escalation of the Ukraine conflict in 2022, with total EU contributions now nearing $145 billion, according to the EC.
Several EU member states, including Slovakia and Hungary, have halted military aid to Kiev and called for redirecting further Ukraine-related assistance toward domestic concerns.
Source: Big News Network
Sema kuna watu wata affecta sana ,naziona NGO nyingi mno zikifa kifo cha mende,Itatuumiza maana projects nyingi zilishaanza ila tutaelewana tu. Iko siku tutaongea lugha moja
Tayari kuna wafanyakazi wengi wa NGOs wako nyumbani. Contracts seized hasa secta ya afya,Sema kuna watu wata affecta sana ,naziona NGO nyingi mno zikifa kifo cha mende,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tutakubaliana tu hapo mbeleni kwamba MAKANDE SI CHAKULA CHA WAPARE TU 😂😂
Hivi wale Worldvision nao vipi au hawahusiki na show za USAID?Ndio mkuu, hawa walikua chini ya udhamini wa USAID.
Ngoja tusubiri kusikia mashirika mengine yalio dhaminiwa na CDC
Janga la USAID ni kama gonjwa la mlipuko🤣 kila mtu atafikiwa kwa wakati wake.Hali sio shwari, familia nyingi zinaenda kuguswa na hili sekeseke Jipya kabisa
Unaemtegemea alinde rasilimali anashirikiana na mwizi gizani😁 unafikiri utafanya nini katika situation ya namna hiyo.Utakubali vipi kuibiwa kiurahisi na Wazungu?
Kwani nchi yenu haina Walinzi wa kulinda huko mipakani mwake na kwenye mabenki yake? Hakuna walinzi huko?
Akina Tundu Lissu wataathirika na kutupunguzia vibweka vya kisiasa kwa kutegemea hisani za Brussels wao na familia zao.....Umoja wa Ulaya (EU) unatarajia kufanya mapitio ya mpango wake wa misaada ya kigeni ili kuendana na maslahi yake ya kisiasa huku ikikabiliwa na changamoto za bajeti, ongezeko la gharama za ulinzi, na tishio la ushuru kutoka Marekani, kulingana na ripoti ya Bloomberg.
Hatua hii inafuatia uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, kusitisha sehemu kubwa ya msaada wa kigeni wa Marekani akidai kuwepo kwa ufisadi na matumizi mabaya ya fedha ndani ya USAID. Sasa msaada huo unakaguliwa kwa miezi mitatu ili kuhakikisha unaendana na maslahi ya Marekani.
Kwa upande wa EU, Tume ya Ulaya (EC) inatafakari kubadilisha mkakati wa misaada yake ya nje, ikilenga kutumia misaada hiyo kuimarisha maslahi yake ya kimkakati, kujenga ushirikiano thabiti, na kuhakikisha upatikanaji wa malighafi muhimu, Bloomberg iliripoti.
EU ni mtoa msaada mkubwa zaidi duniani, ikiwa ilitumia karibu euro bilioni 96 mwaka 2023. Sehemu kubwa ya misaada hiyo imeelekezwa Kiev tangu mzozo wa Ukraine ulipoanza mwaka 2022, ambapo jumla ya msaada wa EU kwa Ukraine sasa unakaribia dola bilioni 145.
Hata hivyo, baadhi ya nchi wanachama kama Slovakia na Hungary zimeacha kutoa msaada wa kijeshi kwa Ukraine na zinataka misaada zaidi kuelekezwa kwenye masuala ya ndani.
=====================================
The decision follows US President Donald Trump's move to freeze most American foreign aid, citing corruption and uncontrolled spending within USAID - Washington's primary tool for funneling political funding abroad. The bulk of US assistance is currently under a three-month review to ensure it "aligns with American interests."
Amid concerns over its increasingly stretched budget and competing priorities such as the Ukraine conflict, the European Commission (EC) is also looking to restructure its external aid program, Bloomberg reported on Monday, citing an internal draft document.
The bloc aims to take a more transactional approach to aid, using it to "secure strategic interests," strengthen alliances, and ensure access to critical raw materials while maintaining its reputation as a "reliable partner," the newspaper wrote.
The EU is collectively the world's largest provider of foreign aid, spending nearly 96 billion ($99 billion) in 2023, according to an EC report from last year. A significant portion of this aid has been directed to Kiev since the escalation of the Ukraine conflict in 2022, with total EU contributions now nearing $145 billion, according to the EC.
Several EU member states, including Slovakia and Hungary, have halted military aid to Kiev and called for redirecting further Ukraine-related assistance toward domestic concerns.
Source: Big News Network
Hii inatisha sana, watu walitegemea maisha yao kwenda kupitia hii, Leo hii watapata wapi mshahara.Janga la USAID ni kama gonjwa la mlipuko🤣 kila mtu atafikiwa kwa wakati wake.
Walaaniwe mafisadi ya USAID yaliyokuwa yanatumia misaada kama kichaka Cha kupiga pesa pia walaaniwe wafanyabiashara wa silaha wa marekani waliokuwa wanaforce Ukraine ijiunge NATO ili waiuzie silahaAlaaniwe Putin na vita vyake vya uvamizi Ukraine.
Ilaaniwe Russia.
Hapana mkuu...Hivi wale Worldvision nao vipi au hawahusiki na show za USAID?