Umoja wa Ulaya yaimwagia sifa Tanzania. Yaahidi kuendelea kumwaga mapesa

Umoja wa Ulaya yaimwagia sifa Tanzania. Yaahidi kuendelea kumwaga mapesa

Pesa ni dhahabu, mazao, mafuta n.k..
Wakubwa wanakuambia pesa ni dollar[emoji2]

Wazungu wa$3nge sana, basi tu
Waafrika wameisha sahau ni lini walikua free bila pesa na bado maisha yalikua mazuri kuliko ha ya ya pesa[emoji23][emoji23]
 
Anaetengeneza pesa hajui uchungu wa kuitafuta sababu yeye anaprint sisi tunaifanyia kazi. Unalima upate mazao uuze mwenzako ana print hela kununua mazao yako.
Afu tukipewa misaada tunashangilia kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu unaonekana hujafahamu vyema uchumi wa dunia unavyofanya kazi. Nani kakuambia nchi zenye uchumi mkubwa duniani hazizalishi, badala yake wao ni ku print tu pesa na kugawa? Jifunze vizuri uchumi unaona kuwa production level ni kubwa zaidi kwenye hizo nchi kuliko sisi.
 
Mkuu unaonekana hujafahamu vyema uchumi wa dunia unavyofanya kazi. Nani kakuambia nchi zenye uchumi mkubwa duniani hazizalishi, badala yake wao ni ku print tu pesa na kuwagawa? Jifunze vizuri uchumi unaona kuwa production level ni kubwa zaidi kwenye hizo nchi kuliko sisi.
Ni lini ulijifunza historia ya utumwa na ukoloni. Na nilini mtu aliekutawala akakufundisha the real economics. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawa jamaa ndo huwa wanakataa hata fact ya utumwa wa mtu mweusi, utasikia wanaanza ku justify, oooh, unajua ukoloni ulikuepoga tu tuachane na haya mambo.

Huna idea yoyote kwenye real economics, mavitabu ya wakoloni yameku brain wash unakuja kutroll humu.

Soma powernomics, vitabu vya ma pan africanists utapata idea
 
Sìsi ni partners siyo donee. Hivyo siyo omba omba
Partners nyie mnawasaidia nini?🤣
Wakipatwa na hata na disaster mnapelekaga hata chakula?

Acha janja janja za kiswazi, we sema tu unajivunia kuwa omba omba full stop..
 
Umoja wa Ulaya imeisifia Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna inavyofanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa ikiwemo kuimarisha masuala ya haki za binadamu.

EU imeahidi kuendelea kumwaga mapesa kwa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa Tanzania. Hii tafsiri yake ni kuwa EU nayo kama nchi zingine za Ulaya na Amerika ikiwemo Marekani nao wameendelea kumpuuza Bwana yule kibaraka na maneno yake uzandiki juu ya Tanzania. Hivi karibuni tumeshuhudia Ujerumani, Sweden, Ubelgiji, Norway, Marekani, UK, na nchi zingine ntingi zikimimina misaada nchini Tanzania.

Wameamua kusonga mbele na sisi wanachi watanzania na siyo vibaraka. Viva Tanzania, Viva Rais Samia. Viva diplomasia ya Tanzania.

View attachment 1991991

View attachment 1991992
Kwahiyo jitihada za tundu L, pamoja na yule beberu wake zimegonga mwamba? Si nilisikia jamaa alitembea nchi zote huko ubeberuni akiziomba ziiwekee vikwazo vya kiuchumi na kuinyima misaada nchi yake ili iweze kufeli katika jitihada zote za kimaendeleo!
 
Umoja wa Ulaya imeisifia Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna inavyofanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa ikiwemo kuimarisha masuala ya haki za binadamu.

EU imeahidi kuendelea kumwaga mapesa kwa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa Tanzania. Hii tafsiri yake ni kuwa EU nayo kama nchi zingine za Ulaya na Amerika ikiwemo Marekani nao wameendelea kumpuuza Bwana yule kibaraka na maneno yake uzandiki juu ya Tanzania. Hivi karibuni tumeshuhudia Ujerumani, Sweden, Ubelgiji, Norway, Marekani, UK, na nchi zingine ntingi zikimimina misaada nchini Tanzania.

Wameamua kusonga mbele na sisi wanachi watanzania na siyo vibaraka. Viva Tanzania, Viva Rais Samia. Viva diplomasia ya Tanzania.

View attachment 1991991

View attachment 1991992
Nilivyoona umeandika, 'EU kama nchi nyingine za Ulaya', nina uhakika hili jukwaa siyo sahihi kwako.
 
Nakushairi uende kwanza shule. EU siyo nchi na Ulaya siyo nchi.

Hebu rudia kusoma au edit ulichoandika huko juu maana unajichanganya mwenyewe
Umeandika mwenyewe

“EU nayo kama nchi zingine za Ulaya”
 
Bwana yule anapuuzwa nje na ndani ya Tanzania
Kwahiyo jitihada za tundu L, pamoja na yule beberu wake zimegonga mwamba? Si nilisikia jamaa alitembea nchi zote huko ubeberuni akiziomba ziiwekee vikwazo vya kiuchumi na kuinyima misaada nchi yake ili iweze kufeli katika jitihada zote za kimaendeleo

Hebu rudia kusoma au edit ulichoandika huko juu maana unajichanganya mwenyewe
Umeandika mwenyewe

“EU nayo kama nchi zingine za Ulaya”
Nimerekenisha mkuu, nilitaka kusema EU kama ilivyo kwa nchi wanachama wake. EU siyo nchi. Ila nchi wanachama wake wanaweza kuwa na misimamo yao tofauti na EU as a bloc.
 
Nakushairi uende kwanza shule. EU siyo nchi na Ulaya siyo nchi.

Kwa hiyo wazungu wametupuuza wanaona sisi sio donor country ndio maana wanaendelea kutupatia misaada?
 
Kwa hiyo wazungu wametupuuza wanaona sisi sio donor country ndio maana wanaendelea kutupatia misaada?
Mi nafikiri wamempuuza tundu na yule beberu wake ambao walikuwa wanapita kwa mabeberu wenzake kuwaomba watuwekee vikwazo vya kiuchumi, na kutunyima misaada ili kuikomoa serikali na wananchi wake. Mzungu huwa hafanyi maamuzi kwa kufuata mashinikizo ya wanasiasa uchwara waliofilisika kihoja, bali hufanya maamuzi kwa kufuata utaratibu maalum unaoendana na sheria zao.
 
Bwana yule anapuuzwa nje na ndani ya Tanzania



Nimerekenisha mkuu, nilitaka kusema EU kama ilivyo kwa nchi wanachama wake. EU siyo nchi. Ila nchi wanachama wake wanaweza kuwa na misimamo yao tofauti na EU as a bloc.

Pamoja Mkuu
 
Mafanikio ya awamu ya sita kwenye utawala bora na diplomasia yanaanza kuonekana. Hongera kwa Mh.Rais Samia.
 
Ngoja waje wachezaji wa Pingapinga FC.
Kutoka donor country na nchi ya viwanda hadi kusifia na kufurahia misaada na mikopo ya mabeberu. Waliokuwa wakiwaita hao wazungu mabeberu ni akina nani? Unaonekana lecture za Mzee Polepole haijakuingia hata kidogo.
 
Kutoka donor country na nchi ya viwanda hadi kusifia na kufurahia misaada na mikopo ya mabeberu. Waliokuwa wakiwaita hao wazungu mabeberu ni akina nani? Unaonekana lecture za Mzee Polepole haijakuingia hata kidogo.
Sio kila anayechangia comment kwenye hizi thd basi ni shabiki wa mambo ya kisiasa,acha kukariri.
 
Sio kila anayechangia comment kwenye hizi thd basi ni shabiki wa mambo ya kisiasa,acha kukariri.
Mwenzio kachanganyikiwa baada ya kuona jitihada za makamu mwenyekiti wa chama chake, pamoja na yule beberu wao kugonga ukuta. Makamu mwenyekiti na beberu wao waliwaaminisha misukule yao kuwa Umoja wa ulaya utaiwekea vikwanzo na kuinyima misaada Tanzania. Sasa hali imekuwa tofauti na walivyotarajia.
 
Back
Top Bottom