Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema vyema mkuu. Walilishwa tango pori.Mwenzio kachanganyikiwa baada ya kuona jitihada za makamu mwenyekiti wa chama chake, pamoja na yule beberu wao kugonga ukuta. Makamu mwenyekiti na beberu wao waliwaaminisha misukule yao kuwa Umoja wa ulaya utaiwekea vikwanzo na kuinyima misaada Tanzania. Sasa hali imekuwa tofauti na walivyotarajia.
🤣🤣🤣 na zimemlegeza hata kurudi kwao anashindwa ... anasubiri kujifungua mapacha 😅Kama ni mbegu wakumwagiwa tayari wanao huko huko. Nawahurumia sana
Tunasifia miranda kumwagiwa mapesa kutoka nje something should be wrong na akili zetu watanzania na viongozi wanaotuongoza
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums
Tunasifia miranda kumwagiwa mapesa kutoka nje something should be wrong nas akili zetu watanzania na viongozi wanaotuongoza
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Tunasifia miranda kumwagiwa mapesa kutoka nje something should be wrong na akili zetu watanzania na viongozi wanaotuongoza
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile
Something is seriously wrong with Lissu who is lobbying the EU officials and European capitals to intensify their pressure to Tanzania and stop their development assistances Lissu has lost his edges.Tunasifia miranda kumwagiwa mapesa kutoka nje something should be wrong na akili zetu watanzania na viongozi wanaotuongoza
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Ngoja waje wachezaji wa Pingapinga FC.
Lakini haya mambo yalianza kutoweka wakati wa Utawala wa Kivuruge mwenye roho mbaya.Ngoja waje wachezaji wa Pingapinga FC.
Umetema povu kama Mama mwenye nyumba,relax,hii ni jf,sio kila anayecomment ni shabiki wa mambo ya kisiasa au shabiki wa vyama vya siasa.Wachezaji wa “dona kantri” mmenywea kumbe wapiga mizinga na wapenda mitelezo. Niambie kama umeshasikia “mabeberu” kutoka kwa kiongozi wa juu wa nchi toka 17 March 2021.
Mmezoea kuishi kwa propaganda, fitna, ghiliba na uongo!
Onyo: Mimi sijitambui kama pingapinga bali mtu aliye na mawazo huru. Uliyepangisha wadhalimu akilini mwako uliaminishwa kuwa hawa unaoshangilia leo wakimwaga mapesa ndio wale wale mabeberu waliokuwa wanatutakia mabaya, wenye wivu na rasilimali zetu, nk.
Pathetic!
Si hawa ndio tulikuwa tunawaita makaburu hivi karibuni? Na kusema tutashirikiana sio kusifia. Safari bado ndefu.Umoja wa Ulaya imeisifia Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna inavyofanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa ikiwemo kuimarisha masuala ya haki za binadamu.
EU imeahidi kuendelea kumwaga mapesa kwa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa Tanzania. Hii tafsiri yake ni kuwa EU nayo kama ilivyo kwa nchi wanachama wake, nchi zingine za Ulaya zisizo wanachama wa EU na zile za bara la Amerika ikiwemo Marekani nao wameendelea kumpuuza Bwana yule kibaraka na maneno yake uzandiki juu ya Tanzania.
Hivi karibuni tumeshuhudia Ujerumani, Sweden, Ubelgiji, Norway, Marekani, UK, na nchi nyingine nyingi zikimimina misaada nchini Tanzania.
Wameamua kusonga mbele na sisi wanachi watanzania na siyo vibaraka. Viva Tanzania, Viva Rais Samia. Viva diplomasia ya Tanzania.
EU hails reform efforts, pledges more assistance
THE European Union (EU) has hailed reform efforts being made by the government, especially in the trade and investment, human rights and democracy, promising to continue cooperating with Tanzania to support its development endeavors.www.ippmedia.com
View attachment 1991991
View attachment 1991992
View attachment 1992015
View attachment 1992016
Haya ya kutegemeategemea misaada JIWE alikuwa hayakubali kabisa!Umoja wa Ulaya imeisifia Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna inavyofanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa ikiwemo kuimarisha masuala ya haki za binadamu.
EU imeahidi kuendelea kumwaga mapesa kwa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa Tanzania. Hii tafsiri yake ni kuwa EU nayo kama ilivyo kwa nchi wanachama wake, nchi zingine za Ulaya zisizo wanachama wa EU na zile za bara la Amerika ikiwemo Marekani nao wameendelea kumpuuza Bwana yule kibaraka na maneno yake uzandiki juu ya Tanzania.
Hivi karibuni tumeshuhudia Ujerumani, Sweden, Ubelgiji, Norway, Marekani, UK, na nchi nyingine nyingi zikimimina misaada nchini Tanzania.
Wameamua kusonga mbele na sisi wanachi watanzania na siyo vibaraka. Viva Tanzania, Viva Rais Samia. Viva diplomasia ya Tanzania.
EU hails reform efforts, pledges more assistance
THE European Union (EU) has hailed reform efforts being made by the government, especially in the trade and investment, human rights and democracy, promising to continue cooperating with Tanzania to support its development endeavors.www.ippmedia.com
View attachment 1991991
View attachment 1991992
View attachment 1992015
View attachment 1992016
Mchezaji wa Pingapinga FC naona unaupiga mwingi.Wachezaji wa “dona kantri” mmenywea kumbe wapiga mizinga na wapenda mitelezo. Niambie kama umeshasikia “mabeberu” kutoka kwa kiongozi wa juu wa nchi toka 17 March 2021.
Mmezoea kuishi kwa propaganda, fitna, ghiliba na uongo!
Onyo: Mimi sijitambui kama pingapinga bali mtu aliye na mawazo huru. Uliyepangisha wadhalimu akilini mwako uliaminishwa kuwa hawa unaoshangilia leo wakimwaga mapesa ndio wale wale mabeberu waliokuwa wanatutakia mabaya, wenye wivu na rasilimali zetu, nk.
Pathetic!
Kwasababu wanawapa pesa,jina la mabeberu mmelifuta?Umoja wa Ulaya imeisifia Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna inavyofanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa ikiwemo kuimarisha masuala ya haki za binadamu.
EU imeahidi kuendelea kumwaga mapesa kwa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa Tanzania. Hii tafsiri yake ni kuwa EU nayo kama ilivyo kwa nchi wanachama wake, nchi zingine za Ulaya zisizo wanachama wa EU na zile za bara la Amerika ikiwemo Marekani nao wameendelea kumpuuza Bwana yule kibaraka na maneno yake uzandiki juu ya Tanzania.
Hivi karibuni tumeshuhudia Ujerumani, Sweden, Ubelgiji, Norway, Marekani, UK, na nchi nyingine nyingi zikimimina misaada nchini Tanzania.
Wameamua kusonga mbele na sisi wanachi watanzania na siyo vibaraka. Viva Tanzania, Viva Rais Samia. Viva diplomasia ya Tanzania.
EU hails reform efforts, pledges more assistance
THE European Union (EU) has hailed reform efforts being made by the government, especially in the trade and investment, human rights and democracy, promising to continue cooperating with Tanzania to support its development endeavors.www.ippmedia.com
View attachment 1991991
View attachment 1991992
View attachment 1992015
View attachment 1992016
Watu wengi hawajui logic ya pesa😂😂 , we unahis printer tunashindwa kuinunua😂Anaetengeneza pesa hajui uchungu wa kuitafuta sababu yeye anaprint sisi tunaifanyia kazi. Unalima upate mazao uuze mwenzako ana print hela kununua mazao yako
Mi nafikiri wamempuuza tundu na yule beberu wake ambao walikuwa wanapita kwa mabeberu wenzake kuwaomba watuwekee vikwazo vya kiuchumi, na kutunyima misaada ili kuikomoa serikali na wananchi wake. Mzungu huwa hafanyi maamuzi kwa kufuata mashinikizo ya wanasiasa uchwara waliofilisika kihoja, bali hufanya maamuzi kwa kufuata utaratibu maalum unaoendana na sheria zao.
Umoja wa Ulaya imeisifia Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna inavyofanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa ikiwemo kuimarisha masuala ya haki za binadamu.
EU imeahidi kuendelea kumwaga mapesa kwa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa Tanzania. Hii tafsiri yake ni kuwa EU nayo kama ilivyo kwa nchi wanachama wake, nchi zingine za Ulaya zisizo wanachama wa EU na zile za bara la Amerika ikiwemo Marekani nao wameendelea kumpuuza Bwana yule kibaraka na maneno yake uzandiki juu ya Tanzania.
Hivi karibuni tumeshuhudia Ujerumani, Sweden, Ubelgiji, Norway, Marekani, UK, na nchi nyingine nyingi zikimimina misaada nchini Tanzania.
Wameamua kusonga mbele na sisi wanachi watanzania na siyo vibaraka. Viva Tanzania, Viva Rais Samia. Viva diplomasia ya Tanzania.
EU hails reform efforts, pledges more assistance
THE European Union (EU) has hailed reform efforts being made by the government, especially in the trade and investment, human rights and democracy, promising to continue cooperating with Tanzania to support its development endeavors.www.ippmedia.com
View attachment 1991991
View attachment 1991992
View attachment 1992015
View attachment 1992016
Ndugu, wanachoturudishia ni aina tu ndogo ya compasation kwa dhuluma walizotufanyia waafrika huko nyuma wakati wa utumwa na ukoloni. Nakushauri soma kitabu cha Walter Rodney on how Europe underdeveloped Africa. Hivyo tunachopokea ukiiangalia kwa jicho lingine ni sehemu ya haki yetu na siyo msaada.Kupewa pesa 'za bure' sio jambo la kushangilia hata kidogo, kama unaelewa ninachokizungumza.
Ukikaa Ulaya au Marekani ukaona wanavyobani watu wao kukusanya kodi ili kukabiliana na umasikini wa ndani ya nchi zao, utashangaa kwa nini wana sera za kutoa 'misaada' ya fedha kwa nchi za Afrika.
Nchi yetu ni lazima ipambane, walau iweze kujitosheleza kwa bajeti yake. Na hilo halijalishi Rais gani yuko madarakani.
Kushangilia 'misaada' ya fedha na vitu, iwe inatoka Ulaya, China, Marekani n.k., ni dalili ya uelewa mdogo wa maswala ya siasa za kimataifa.
Ndugu, wanachoturudishia ni aina tu ndogo ya compasation kwa dhuluma walizotufanyia waafrika huko nyuma wakati wa utumwa na ukoloni. Nakushauri soma kitabu cha Walter Rodney on how Europe underdeveloped Africa. Hivyo tunachopokea ukiiangalia kwa jicho lingine ni sehemu ya haki yetu na siyo msaada.