Pre GE2025 Umoja wa Vyama 13 vya Siasa: Tulidhani wananchi wangefanya Maandamano kumpongeza Rais kutoa kauli juu ya utekaji

Pre GE2025 Umoja wa Vyama 13 vya Siasa: Tulidhani wananchi wangefanya Maandamano kumpongeza Rais kutoa kauli juu ya utekaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu, Mambo yanazidi kuwa mambo, chawa wengine hawa hapa!

====

Tukadhani jambo hili (utekaji) lipo Tanzania peke yake. Nazungumza haya kwasababu viongozi wenzetu wanasema wanahitaji uchunguzi, watu watoke nje. Huko ambako tunahitaji waje wenyewe huwa wanashughulikia na SMG – Amerika, ni nchi maarufu sana duniani.

Kwahiyo watu wasifikirie vitu hivi ni rahisi kuvipatia ufumbuzi wa haraka. Mara ya kwanza kakoswa risasi ya sikio, mara ya pili ni juzi, na wanajua kwamba kuna tatizo na wenyewe wanasisitiza mamlaka zichukue hatua kwaajili ya masuala hayo yasiweze kuwapata wanasiasa huko Amerika.

Kwahiyo suala hili ni suala mtambuka na nyeti sana, linahitaji akili nyingi, umakini mkubwa, kwaajili ya kuweza kulishughulikia. Mimi nazungumzia suala hili la tamko la Rais. Kwanza tutambue huyu ni Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT. Amekuwa mtu wa kwanza kabisa tar 8 kutoa tamko la namna ambavyo ameguswa na tukio la lile (kifo cha Ali Kibao).

Ilipaswa au nilifikiri kwa akili zangu au kwa maoni yangu Watanzania wangefanya maandamano ya amani ya kupongeza kauli ya Rais. Yule ni Mkuu wa Nchi. Kama Rais amekuwa mtu wa kwanza kukemea na kukerwa ilikuwa Watanzania matamko yao yaende kumpongeza Rais kama Mkuu wa nchi kwa kuguswa na matukio yanayoendelea.

Nayasema haya sababu matukio haya yanaonekana kama kuna ajenda inaandaliwa za kuchafuana au kuichafua nchi.


 
Kwahy ukimtetea mbowe kutotaka kuachia uenyekiti CHADEMA na kufuja pesa za ruzuku sio chawa ila ukiipongeza CCM au rais kwa lolote wewe ndio chawa au mi ndio sijaelewa?
 
Wakuu, Mambo yanazidi kuwa mambo, chawa wengine hawa hapa!

View attachment 3098588
Mmmh mimi ingawa naona hakuna mbadala wa ccm kwa tanzania, ila napenda wananchi wanapoweza kusimamia haki zao zinapovunjwa na kusimama pamoja urrespective ya vyama vyao na hii itawafunza polisi na watawala kutowadharau wananchi, wasiwachukulie poa
 
UKIMPONGEZA MBOWE AMBAYE AMEAMUA KUWA NI MWENYEKITI WA KUDUMU WA CHADEMA WEWE NI SHUJAA,UKIMPONGEZA SAMIA KWA KUIRUDISHA NCHI KWENYE DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA WEWE NI CHAWA...I WILL NEVER UNDERSTAND THIS SOCIETY..
 
Vibaragashia wengi ni vichaa.linahalalisha utekaji unaofanyika Kwa kigezo kuwa trump kukoswakoswa na risasi.
HAPO NDIPO MNAPOKOSEA WAKRISTO WA CHADEMA,KUDHANI KWAMBA KUWATUKANA WAISLAM KWA MATUSI YA REJA REJA BASI KUTAWAPA TURUFU YA KUINGIA IKULU,SAHAU HICHO KITU.
 
UKIMPONGEZA MBOWE AMBAYE AMEAMUA KUWA NI MWENYEKITI WA KUDUMU WA CHADEMA WEWE NI SHUJAA,UKIMPONGEZA SAMIA KWA KUIRUDISHA NCHI KWENYE DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA WEWE NI CHAWA...I WILL NEVER UNDERSTAND THIS SOCIETY..
Tofauti ni kwmaba mbowe hakuamua mwenyewe. Ni chama kilibadili sheria chenyewe na wanachama walipiga kura kupitisha hilo, hakujiweka hapo mwenyewe

Samia hakuirusha nchi kwenye demokrasia, ilikuwepo kabla yake na kwa watangulizi wake. Tofauti ni utekelezaji
 
Back
Top Bottom