Pre GE2025 Umoja wa Vyama 13 vya Siasa: Tulidhani wananchi wangefanya Maandamano kumpongeza Rais kutoa kauli juu ya utekaji

Pre GE2025 Umoja wa Vyama 13 vya Siasa: Tulidhani wananchi wangefanya Maandamano kumpongeza Rais kutoa kauli juu ya utekaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tofauti ni kwmaba mbowe hakuamua mwenyewe. Ni chama kilibadili sheria chenyewe na wanachama walipiga kura kupitisha hilo, hakujiweka hapo mwenyewe

Samia hakuirusha nchi kwenye demokrasia, ilikuwepo kabla yake na kwa watangulizi wake. Tofauti ni utekelezaji
KAAMUA MWENYEWE WAPI WEWEE,WE HUONI KILA ANAETAKA KUMCHALLANGE HAPO JUU ANAWAONDOA??
 
KAAMUA MWENYEWE WAPI WEWEE,WE HUONI KILA ANAETAKA KUMCHALLANGE HAPO JUU ANAWAONDOA??
Ww umeijua chadema juzi, hili jambo lilipigiwa kura enzi za jk, labda ww wa juzi hapa. Wanao vijua vyama nchi hii wanajua nn kilitokea.

Huwezi jichagua wakati sheria za usajili wa vyama vya siasa vinakataa na ni kinyume na sheria
 
Ww umeijua chadema juzi, hili jambo lilipigiwa kura enzi za jk, labda ww wa juzi hapa. Wanao vijua vyama nchi hii wanajua nn kilitokea.

Huwezi jichagua wakati sheria za usajili wa vyama vya siasa vinakataa na ni kinyume na sheria
LABDA WEWE BAVICHA NDIE AMBAE UMEIJUA CHADEMA JUZI,KUHUSU SUALA LA UDINI,UKANDA NA UKABILA CHADEMA NDIYO NGUZO ZAKE KUU.
 
Wakuu, Mambo yanazidi kuwa mambo, chawa wengine hawa hapa!

====

Tukadhani jambo hili (utekaji) lipo Tanzania peke yake. Nazungumza haya kwasababu viongozi wenzetu wanasema wanahitaji uchunguzi, watu watoke nje. Huko ambako tunahitaji waje wenyewe huwa wanashughulikia na SMG – Amerika, ni nchi maarufu sana duniani.

Kwahiyo watu wasifikirie vitu hivi ni rahisi kuvipatia ufumbuzi wa haraka. Mara ya kwanza kakoswa risasi ya sikio, mara ya pili ni juzi, na wanajua kwamba kuna tatizo na wenyewe wanasisitiza mamlaka zichukue hatua kwaajili ya masuala hayo yasiweze kuwapata wanasiasa huko Amerika.

Kwahiyo suala hili ni suala mtambuka na nyeti sana, linahitaji akili nyingi, umakini mkubwa, kwaajili ya kuweza kulishughulikia. Mimi nazungumzia suala hili la tamko la Rais. Kwanza tutambue huyu ni Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT. Amekuwa mtu wa kwanza kabisa tar 8 kutoa tamko la namna ambavyo ameguswa na tukio la lile (kifo cha Ali Kibao).

Ilipaswa au nilifikiri kwa akili zangu au kwa maoni yangu Watanzania wangefanya maandamano ya amani ya kupongeza kauli ya Rais. Yule ni Mkuu wa Nchi. Kama Rais amekuwa mtu wa kwanza kukemea na kukerwa ilikuwa Watanzania matamko yao yaende kumpongeza Rais kama Mkuu wa nchi kwa kuguswa na matukio yanayoendelea.

Nayasema haya sababu matukio haya yanaonekana kama kuna ajenda inaandaliwa za kuchafuana au kuichafua nchi.




Tatizo Raisi sasa maneno yake yamkuwa vijimaneno hakuna utekelezaji wowote
 
Wakuu, Mambo yanazidi kuwa mambo, chawa wengine hawa hapa!

====

Tukadhani jambo hili (utekaji) lipo Tanzania peke yake. Nazungumza haya kwasababu viongozi wenzetu wanasema wanahitaji uchunguzi, watu watoke nje. Huko ambako tunahitaji waje wenyewe huwa wanashughulikia na SMG – Amerika, ni nchi maarufu sana duniani.

Kwahiyo watu wasifikirie vitu hivi ni rahisi kuvipatia ufumbuzi wa haraka. Mara ya kwanza kakoswa risasi ya sikio, mara ya pili ni juzi, na wanajua kwamba kuna tatizo na wenyewe wanasisitiza mamlaka zichukue hatua kwaajili ya masuala hayo yasiweze kuwapata wanasiasa huko Amerika.

Kwahiyo suala hili ni suala mtambuka na nyeti sana, linahitaji akili nyingi, umakini mkubwa, kwaajili ya kuweza kulishughulikia. Mimi nazungumzia suala hili la tamko la Rais. Kwanza tutambue huyu ni Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT. Amekuwa mtu wa kwanza kabisa tar 8 kutoa tamko la namna ambavyo ameguswa na tukio la lile (kifo cha Ali Kibao).

Ilipaswa au nilifikiri kwa akili zangu au kwa maoni yangu Watanzania wangefanya maandamano ya amani ya kupongeza kauli ya Rais. Yule ni Mkuu wa Nchi. Kama Rais amekuwa mtu wa kwanza kukemea na kukerwa ilikuwa Watanzania matamko yao yaende kumpongeza Rais kama Mkuu wa nchi kwa kuguswa na matukio yanayoendelea.

Nayasema haya sababu matukio haya yanaonekana kama kuna ajenda inaandaliwa za kuchafuana au kuichafua nchi.


View attachment 3098733
Mchezo mchafu uliojaa rafu!
 
Wakuu, Mambo yanazidi kuwa mambo, chawa wengine hawa hapa!

====

Tukadhani jambo hili (utekaji) lipo Tanzania peke yake. Nazungumza haya kwasababu viongozi wenzetu wanasema wanahitaji uchunguzi, watu watoke nje. Huko ambako tunahitaji waje wenyewe huwa wanashughulikia na SMG – Amerika, ni nchi maarufu sana duniani.

Kwahiyo watu wasifikirie vitu hivi ni rahisi kuvipatia ufumbuzi wa haraka. Mara ya kwanza kakoswa risasi ya sikio, mara ya pili ni juzi, na wanajua kwamba kuna tatizo na wenyewe wanasisitiza mamlaka zichukue hatua kwaajili ya masuala hayo yasiweze kuwapata wanasiasa huko Amerika.

Kwahiyo suala hili ni suala mtambuka na nyeti sana, linahitaji akili nyingi, umakini mkubwa, kwaajili ya kuweza kulishughulikia. Mimi nazungumzia suala hili la tamko la Rais. Kwanza tutambue huyu ni Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT. Amekuwa mtu wa kwanza kabisa tar 8 kutoa tamko la namna ambavyo ameguswa na tukio la lile (kifo cha Ali Kibao).

Ilipaswa au nilifikiri kwa akili zangu au kwa maoni yangu Watanzania wangefanya maandamano ya amani ya kupongeza kauli ya Rais. Yule ni Mkuu wa Nchi. Kama Rais amekuwa mtu wa kwanza kukemea na kukerwa ilikuwa Watanzania matamko yao yaende kumpongeza Rais kama Mkuu wa nchi kwa kuguswa na matukio yanayoendelea.

Nayasema haya sababu matukio haya yanaonekana kama kuna ajenda inaandaliwa za kuchafuana au kuichafua nchi.


View attachment 3098733
Waaaambie nimewatusi
 
Kosa kiviita vyama vya upinzani 13

viitwe vyama 13 mshirika wa chama Cha mapinduzi
 
Njaa ikikimbilia kichwani ni hatari,,,Huondoa Utu
 
Wakuu, Mambo yanazidi kuwa mambo, chawa wengine hawa hapa!

====

Tukadhani jambo hili (utekaji) lipo Tanzania peke yake. Nazungumza haya kwasababu viongozi wenzetu wanasema wanahitaji uchunguzi, watu watoke nje. Huko ambako tunahitaji waje wenyewe huwa wanashughulikia na SMG – Amerika, ni nchi maarufu sana duniani.

Kwahiyo watu wasifikirie vitu hivi ni rahisi kuvipatia ufumbuzi wa haraka. Mara ya kwanza kakoswa risasi ya sikio, mara ya pili ni juzi, na wanajua kwamba kuna tatizo na wenyewe wanasisitiza mamlaka zichukue hatua kwaajili ya masuala hayo yasiweze kuwapata wanasiasa huko Amerika.

Kwahiyo suala hili ni suala mtambuka na nyeti sana, linahitaji akili nyingi, umakini mkubwa, kwaajili ya kuweza kulishughulikia. Mimi nazungumzia suala hili la tamko la Rais. Kwanza tutambue huyu ni Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT. Amekuwa mtu wa kwanza kabisa tar 8 kutoa tamko la namna ambavyo ameguswa na tukio la lile (kifo cha Ali Kibao).

Ilipaswa au nilifikiri kwa akili zangu au kwa maoni yangu Watanzania wangefanya maandamano ya amani ya kupongeza kauli ya Rais. Yule ni Mkuu wa Nchi. Kama Rais amekuwa mtu wa kwanza kukemea na kukerwa ilikuwa Watanzania matamko yao yaende kumpongeza Rais kama Mkuu wa nchi kwa kuguswa na matukio yanayoendelea.

Nayasema haya sababu matukio haya yanaonekana kama kuna ajenda inaandaliwa za kuchafuana au kuichafua nchi.


View attachment 3098733
Hao wanawakilisha vyama gan na kutoka nchi gan ??? Nisaidien
 
Ndio wewe ndio hujaelewa, na kwa kichwa chako kilichojaa ukijani kijani huwezi kuelewa kamweee
Na atakae waelewa nyny ana matatizo ya akili ikawa nyinyi wenyew hamujielewi munataka nini mara maridhiano mara katiba mara bandar mara tanganyika mara hatutaki uchaguzi 😁😁
 
Wakuu, Mambo yanazidi kuwa mambo, chawa wengine hawa hapa!

====

Tukadhani jambo hili (utekaji) lipo Tanzania peke yake. Nazungumza haya kwasababu viongozi wenzetu wanasema wanahitaji uchunguzi, watu watoke nje. Huko ambako tunahitaji waje wenyewe huwa wanashughulikia na SMG – Amerika, ni nchi maarufu sana duniani.

Kwahiyo watu wasifikirie vitu hivi ni rahisi kuvipatia ufumbuzi wa haraka. Mara ya kwanza kakoswa risasi ya sikio, mara ya pili ni juzi, na wanajua kwamba kuna tatizo na wenyewe wanasisitiza mamlaka zichukue hatua kwaajili ya masuala hayo yasiweze kuwapata wanasiasa huko Amerika.

Kwahiyo suala hili ni suala mtambuka na nyeti sana, linahitaji akili nyingi, umakini mkubwa, kwaajili ya kuweza kulishughulikia. Mimi nazungumzia suala hili la tamko la Rais. Kwanza tutambue huyu ni Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT. Amekuwa mtu wa kwanza kabisa tar 8 kutoa tamko la namna ambavyo ameguswa na tukio la lile (kifo cha Ali Kibao).

Ilipaswa au nilifikiri kwa akili zangu au kwa maoni yangu Watanzania wangefanya maandamano ya amani ya kupongeza kauli ya Rais. Yule ni Mkuu wa Nchi. Kama Rais amekuwa mtu wa kwanza kukemea na kukerwa ilikuwa Watanzania matamko yao yaende kumpongeza Rais kama Mkuu wa nchi kwa kuguswa na matukio yanayoendelea.

Nayasema haya sababu matukio haya yanaonekana kama kuna ajenda inaandaliwa za kuchafuana au kuichafua nchi.


View attachment 3098733
Watu wanawezaje kuwa na ujasiri kutoa tamko la kijinga hivi ,ni fedha za Makalla au suti aliowashonea.
Upuuzi wa karne
 
Back
Top Bottom